hiki sio kijuwe cha kunywa pombe au kahawa..kuna jukwaa la kujitambulisha hili sio pahala pake...kuwa serious kijana!!!hellooooo
Jamani tumevamiwa humu na vilaza hivi huyu nani kamleta? Sasa hiki ndo nini hivi umeushirikisha ubongo wako wakati unapost? MA..SA,BURI ni kwa kazi ya kukalia sio kufikiri.
Mimi nadhani sheria za jf zina haja ya kutafsiriwa kwa kiswahili na ikiwezekana nyingine ndogondogo ziweke za kuwakomesha watu kama hawa.
a u mad? ha2po hapa kulopoka sura
;we need serious issues here;
mods wamelala..
mi namrepoti apigwe LIFE BAN ku***vu..mi sielew hawa watu wametokea wap??? si wakajitambulishe huko kwenye jukwa la kujitambulisha!!!!
halafu shangaa yuko jukwaa la education!
Hahahahaah!! Mods. wameshafanya kazi yao, kaletwa jukwaa la utambulisho.