faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
kama umeandikiwa not secured jamani kesho saa 4 twendeni kwenye ofice za heslb ili kuonyesha kua hawajatutendea haki zetu mkopo kwa mwanafunzi wa chuo ni Lazima...!!! Kwa nini course ni priority afu hatujapewa mkopo eti kisa mtu kasoma private school ndo kunyimwa mkopo hawajui kua wazazi wanakopa kupitia mashirika ya kukopesha ndo watoto wao waweze kusoma jamani kesho 2kutane pale heslb kwa ajili ya maandamano