poa ndugu
Nafikri leo utakuwa umefanikiwa sasa!!.
Mimi ya kwangu imekubaliwa na nimefanikiwa kukamilisha mchakato. Nilituma fedha siku ya Jumamosi ikawa haikubaliwa tangu siku hiyo lakini leo nimejaribu mara 1 tu ikaitika.
User name ni ile namba uliyoformat kulipia mpesa...na password ni ile uliyoingiza wewe mwenyewe...mm bado wakuu, nlichofanikiwa kwasasa ni self register tu! zen nkaletewa fomu ya self registration for freshers(fom 4 afta 1987) nkaijaza na kusubmit baada ya hapo cjapewa username na passwords za kulogin. Msaada plz.
User name ni ile namba uliyoformat kulipia mpesa...na password ni ile uliyoingiza wewe mwenyewe...
Hebu nitumie PM hizo Transaction ID na namba ya form 4 na mwaka uliomaliza ili nikujazie !!