Sio wote.Ila MWANAUME kuwa makini sana kumfanya rafiki kwa maana atakuwa rafiki mwema kwa target, akishakugegeda tuu na uhasama utaanzia hapoa au akishagundua kuna njemba inayokugegeda na unailewa ipasavyo mgegedo wake kaa ukijua urafiki wenu punde utavunjika!!!
Uchochezi wa maendeleo?Dota acha uchochezi!!
Pole .... Mungu na akujaalie kumbadirisha ili muishi kwa amanikama umempata Wa ivo,sema asante Mungu.Wengine tunaangaika wenyewe na familia.
ya mwendokasiMaendeleo gani hayo sasa?
ila ni 99%Sio wote.
Wanaume wa hivyo wapo tena wengi mie kazini kampani yangu ni wanaume kwanza
Hawana majungu majungu muda wote mambo ya msingi au Mpira
Pili hawanaga vinyongo hata watakwazana wataongea kama kawaida
Tatu wananifanya kama Dada yao wananipenda sana tu yaani hata nikifulia sina nauli ntafka kazini ntakula na watanipa walichonacho....
Nne wanaume bwana wao tofauti sana ukiwa na rafiki wa kiume ukamuambia mambo yao au tatizo lolote basi jua limefika sehemu sahihi atatunza siri yako kwa moyo mkunjufu.
Na kama mmeo au mpenzi wako ukimfanya rafiki utaenjoy aisee utakua na amani,furaha na tabasamu muda wote!
Mungu awalinde wanaume wote wanaojielewa na kutambua majukumu yao!!
Mwanaume hatibuliwi ujue,
Hapo ndo watoto wa kike tunakoseaga.
Anza kuomba samahani