Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Wanajf, ninauchungu sana kuona jinsi TZ Kikongo na manyanyaso tunayofanyiwa wanasema ni nchi ya amani lakini sio kweli ni utulivu tu.
Na Wa TZ walivyombumbu ndiyo nchi inazidi kudidimia, uonevu manyanyaso ufisadi Wa waziwazi tumekaa tu na kuangalia tu.
Watu Wa magamba ndiyo kabisa wanazidi kutokomezwa na kudanywa
Na Wa TZ walivyombumbu ndiyo nchi inazidi kudidimia, uonevu manyanyaso ufisadi Wa waziwazi tumekaa tu na kuangalia tu.
Watu Wa magamba ndiyo kabisa wanazidi kutokomezwa na kudanywa