mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,657
kwa iyo kayaweka ndani kama mapambo au?Kwa hyo unafikiri kama Russia anayo hayo makombora mmarekan atakua hana au?? Hujawai kumuona mmarekani akifanya "show of' ndo maana
kwa iyo kayaweka ndani kama mapambo au?Kwa hyo unafikiri kama Russia anayo hayo makombora mmarekan atakua hana au?? Hujawai kumuona mmarekani akifanya "show of' ndo maana
Katafute kitu kinaitwa kinaitwa TRIDENT missile ambayo ni SLBM.... Hyo kitu ilkua inawekwa warheads mpk 12 had warus wakaogopa wakawekeana mkataba na USA wapunguze idad ya warheads mpk sasa hv zinawekwa 8-4 kwenye One missile... Ktu kinaenda kwa speed ya 21600km/hkwa iyo kayaweka ndani kama mapambo au?
utachelewa sana kujua wewe.SLBM ni makombora yanayorushwa kutoka kwenye submarine na uzito wake hauzidi tani 60.sasa utafananishaje kombora la kutoka kwenye silo na kombora la kutoka kwenye submarine?.iyo Trident ina uzito wa tani 60 wakati SS 18 satan ina uzito wa tani 209 sasa wapi na wapiKatafute kitu kinaitwa kinaitwa TRIDENT missile ambayo ni SLBM.... Hyo kitu ilkua inawekwa warheads mpk 12 had warus wakaogopa wakawekeana mkataba na USA wapunguze idad ya warheads mpk sasa hv zinawekwa 8-4 kwenye One missile... Ktu kinaenda kwa speed ya 21600km/h
Yote hayo ni makombora sema yanatofautiana njia za jins ya kuyaLaunch mfano yanaweza kurushwa from Bombers,submarines and silo.... Sasa sijajua what's ur point hpoutachelewa sana kujua wewe.SLBM ni makombora yanayorushwa kutoka kwenye submarine na uzito wake hauzidi tani 60.sasa utafananishaje kombora la kutoka kwenye silo na kombora la kutoka kwenye submarine?.iyo Trident ina uzito wa tani 60 wakati SS 18 satan ina uzito wa tani 209 sasa wapi na wapi
Ila Joyce na wenzake walihanya sana, baada ya hapo wakatulia kimnya. Nadhani walijiona kama panzi mbele ya Jeshi letu.Hayo ma vifaa ukilinganisha na yale aliyotishiwa Joyce Banda utasema yale yetu ni ma midoli tu!
Ushaanza chokochoko ss hatujafika hukoIla Joyce na wenzake walihanya sana, baada ya hapo wakatulia kimnya. Nadhani walijiona kama panzi mbele ya Jeshi letu.
yote yanarusha makombora ila uwezi chukua mombora kama Rs 36 ukarusha kutoka kwenye submarine.kombora linalorushwa kwenye silo linakuwa ni heavy weight ndo unakuta kombora lina uzito wa tani 209 na 20 kilotons of TNTYote hayo ni makombora sema yanatofautiana njia za jins ya kuyaLaunch mfano yanaweza kurushwa from Bombers,submarines and silo.... Sasa sijajua what's ur point hpo
maana yake atayerusha makombora 10 ya trident ni sawa na atakayerusha kombora 1 la Rs 36.sasa hapo kuna usawa kweliYote hayo ni makombora sema yanatofautiana njia za jins ya kuyaLaunch mfano yanaweza kurushwa from Bombers,submarines and silo.... Sasa sijajua what's ur point hpo
Hyo point yko ya 10:1 sidhan km ni saw a maaana kinachoangaliwa sio uzito Bali ni material zilizotumika kutengeneza hilo kombora maaana ht hyo Trident inaweza kuwekwa warheads 10 na RS warheads mpk sijui 15maana yake atayerusha makombora 10 ya trident ni sawa na atakayerusha kombora 1 la Rs 36.sasa hapo kuna usawa kweli
maana yake ndo hiiHyo point yko ya 10:1 sidhan km ni saw a maaana kinachoangaliwa sio uzito Bali ni material zilizotumika kutengeneza hilo kombora maaana ht hyo Trident inaweza kuwekwa warheads 10 na RS warheads mpk sijui 15
Me nimeshakuelewa ilA ww hujanielewa....unakumbuka Test ya Tsar bomb ilkuaje... Lauching mode it doesn't determine how dangerous the missile zmaana yake ndo hii
nafikiri utakuwa umeelewa namanisha niniHyo point yko ya 10:1 sidhan km ni saw a maaana kinachoangaliwa sio uzito Bali ni material zilizotumika kutengeneza hilo kombora maaana ht hyo Trident inaweza kuwekwa warheads 10 na RS warheads mpk sijui 15
tunachotofautiana tu ni kwamba effect ya Rs 36 sio sawa na effect ya tridentMe nimeshakuelewa ilA ww hujanielewa
Watu MNA data kuhusu Millitary weaponsyote yanarusha makombora ila uwezi chukua mombora kama Rs 36 ukarusha kutoka kwenye submarine.kombora linalorushwa kwenye silo linakuwa ni heavy weight ndo unakuta kombora lina uzito wa tani 209 na 20 kilotons of TNT
Kaka umeshafanya uchunguzi ukaona nature ya kazi yenyewe au umependa ma kombati yao ?Natamani ngekuwa mwanajeshi....
Kasome historia chanzo cha mkataba. Acha kutufanya hatujuiKatafute kitu kinaitwa kinaitwa TRIDENT missile ambayo ni SLBM.... Hyo kitu ilkua inawekwa warheads mpk 12 had warus wakaogopa wakawekeana mkataba na USA wapunguze idad ya warheads mpk sasa hv zinawekwa 8-4 kwenye One missile... Ktu kinaenda kwa speed ya 21600km/h
Hahaha...vipi kwani mkuu! Malizia kabisa ulichotaka kumwambua.Kaka umeshafanya uchunguzi ukaona nature ya kazi yenyewe au umependa ma kombati yao ?
Watanzania hawana DOGO !! Utasikia "aliyeposti Picha ya jeshi yuko mahakama ya kisutu"Weka na picha za jeshi la Tanzania