Here is USA army force Vs RUSSIA army force

Wamarekani uongo wanaujua kuutunga na kuutangaza. Juzi tu hapa Brazil muogeleaji maarufu na mshindi wa medali kadhaa za Olympics-Ryan Lochte kaongopea dunia nzima eti majambazi waliwavamia tena na silaha na kuwapora vitu. Uzuri Wabrazil wakawaweka kati wenzake wakakiri kuongopa. Lochte mwenyewe karudi kwao bado watu wanamuona bingwa na yuko kwenye show ya kucheza na mastaa wa Marekani, hovyo kabisa. Tena msamaha wake ni sawa na hajakubali uongo mzito aliousema
 
Military expenditures amongst superior troops.

chartoftheday_2162_Military_expenditure_in_2013_n.jpg


Do I need to say more?
Eti matajiri,,,,,MBONA KWENYE VITA YA VIETNAM HAO US WALICHAPISHA PESA KUGHARAMIA VITA NA KANCHI KADOGO KAMA VIETNAM?!!,,,,Uchumi gani mzuri unashindwa kuprovide budget ya kugharamia vita na nchi ndogo ambayo ukubwa wake haufikii hata nusu ya TZ?!!,MPAKA WAFANYE FIGISU FIGISU ZA KUCHAPISHA NOTI ILI KUFUND MATUMIZI YA VITA!!!.
 
Wamarekani uongo wanaujua kuutunga na kuutangaza. Juzi tu hapa Brazil muogeleaji maarufu na mshindi wa medali kadhaa za Olympics-Ryan Lochte kaongopea dunia nzima eti majambazi waliwavamia tena na silaha na kuwapora vitu. Uzuri Wabrazil wakawaweka kati wenzake wakakiri kuongopa. Lochte mwenyewe karudi kwao bado watu wanamuona bingwa na yuko kwenye show ya kucheza na mastaa wa Marekani, hovyo kabisa. Tena msamaha wake ni sawa na hajakubali uongo mzito aliousema
HAO JAMAA(US) NI WAPENDA SIFA VIBAYA MNO,Maana wanapenda sifa hadi zinawaumbua.Ona sasa hadi olympic nako wanataka sifa!!!
 
Marekani alitia pua VIETNAM akaambulia kichapo atia pua tena kwa wavaa ndala AFGHANISTAN WATALEBAN wakamtoa jasho mpaka basi akaenda korea na kwenyewe akakutana na kizingiti yaani kila anakotia pua lazima ashindwe anabaki kuuwa watu tu wasiokuwa na silaha yaani huyu marekani hata TZ tukiomba nae mechi ya kirafiki ateremshe majeshi yake ardhini tunampiga kama kuku wa mdondo
unamatatizo ww
 
Ila wamarekani nao wamezidi unafiki aisee,kweli kwa vita ile ya georgia silaha za msaada wanapeleka humvee!!! halafu dhidi ya superpower kama urusi?!!

Wewe ujui vita, yaani ulinganishe Urusi na USA kwenye military field? yaani Rusia isiyokua na Military base nje ya Rusia ulinganishe na USA yenye base kila kona. USA ni smart sana kwenye technology than Rusia, usisikie kauli za viburi vya Putin na NK ukadhani wako vizuri kivile.
 
Wewe ujui vita, yaani ulinganishe Urusi na USA kwenye military field? yaani Rusia isiyokua na Military base nje ya Rusia ulinganishe na USA yenye base kila kona. USA ni smart sana kwenye technology than Rusia, usisikie kauli za viburi vya Putin na NK ukadhani wako vizuri kivile.
Hizo base zilizojaa duniani sio kigezo cha kuishinda Russia na Putin alisema kuwa Russia haihitaji military base zilizozagaa duniani ili kumpiga adui kwani Urusi wana makombora kama kalibr missile ambalo linaeza kwenda kilometa 1500 na kuteketeza manowari,nyambizi na ngome au kambi za adui na launch platform ya kombora hili ni kuwa linaweza kufyatuliwa kutoka kwenye meli,nyambizi na ndege hivyo mapigo kutoka mbali bila hata kuhitaji multiple bases na pia hao hao warusi wanakombora linaitwa kh-101 ambalo linaenda kilometa 4500 ,ukumbuke kuwa haya makombora yashaonesha ufanisi huko syria.Kwa hiyo hayo makambi/bases ya US kwa Russia ni kama mbwembwe tu maana tayari anaouwezo mkubwa.
 
Wewe ujui vita, yaani ulinganishe Urusi na USA kwenye military field? yaani Rusia isiyokua na Military base nje ya Rusia ulinganishe na USA yenye base kila kona. USA ni smart sana kwenye technology than Rusia, usisikie kauli za viburi vya Putin na NK ukadhani wako vizuri kivile.
Halafu pia ungetaja US kamzidi tech wapi mrusi isiwe maneno matupu tu.
 
Wewe ujui vita, yaani ulinganishe Urusi na USA kwenye military field? yaani Rusia isiyokua na Military base nje ya Rusia ulinganishe na USA yenye base kila kona. USA ni smart sana kwenye technology than Rusia, usisikie kauli za viburi vya Putin na NK ukadhani wako vizuri kivile.
iyo ndo sababu iliyomfany hilter kushindw vita maana wanajeshi wake wengi walikuwa nnje ya ujerumani.kuwa na base nyingi sio ndo kuwez kushind vita maan izo base ni kw ajiri ya usalama wa balozi zake tu ila sio kw ajiri ya vita kubw maan uwezi ukaweka siraha nzito kweny ardhi ya watu unaweza ukanufaish watu
 
Wewe ujui vita, yaani ulinganishe Urusi na USA kwenye military field? yaani Rusia isiyokua na Military base nje ya Rusia ulinganishe na USA yenye base kila kona. USA ni smart sana kwenye technology than Rusia, usisikie kauli za viburi vya Putin na NK ukadhani wako vizuri kivile.
kikubwa tu ni kuwa na siraha zenye uwezo na za kisasa hapo ndio utajua nani hatari
 
Hizo base zilizojaa duniani sio kigezo cha kuishinda Russia na Putin alisema kuwa Russia haihitaji military base zilizozagaa duniani ili kumpiga adui kwani Urusi wana makombora kama kalibr missile ambalo linaeza kwenda kilometa 1500 na kuteketeza manowari,nyambizi na ngome au kambi za adui na launch platform ya kombora hili ni kuwa linaweza kufyatuliwa kutoka kwenye meli,nyambizi na ndege hivyo mapigo kutoka mbali bila hata kuhitaji multiple bases na pia hao hao warusi wanakombora linaitwa kh-101 ambalo linaenda kilometa 4500 ,ukumbuke kuwa haya makombora yashaonesha ufanisi huko syria.Kwa hiyo hayo makambi/bases ya US kwa Russia ni kama mbwembwe tu maana tayari anaouwezo mkubwa.
Kwa hyo unafikiri kama Russia anayo hayo makombora mmarekan atakua hana au?? Hujawai kumuona mmarekani akifanya "show of' ndo maana
 
Back
Top Bottom