Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Yani kila nikipiga simu kuongea na na wangu wa moyon, Bibi yake Mzaa Mama lazima atataka kunisalimia,akipewa Line tu ataanza na Ma Kiss ya ajabu anbayo hata wifi/shemej yenu anakiri hajafikia kiwango cha Bibi, Juzi ndo katoa kali, Duu....pale kweli tuna Bibi,Jooooob Tur true