Acha ujeuri, wewe ulikopa kwa makubaliano unatakiwa kulipa. kukataa au kufanya ujanjaujanja ili usirudishe kodi zetu ni sawa tu na hao wezi, huwezi kusawazisha kosa kwa kosa jingine, ndo kasumba yetu tulio wengi tunapenda sana kunyooshea vidole wengine na kusahau wajibu wetu. Sheria inakutaka ujitokeze mwenyewe na siyo kufuatwa..kwa kauli yako sioni tofauti yako na hao wezi
Eti kuna jamaa kaja hapa ofisini leo anatafuta watu ambao walisomeshwa kwa Mkpo wanataka waanze kuwakata, mbona hawa wezi wao wanaachwa huru? Sijui niwajibuje hata sielewi?