Helloo!

Hahaha...
Unajua badala ya kukasirika/kuona wivu,
nimesikitika kuona wengine wakiwa wavivu,
nimejikuta nikicheka na kufurahi moyoni,
moyo umejaa furaha isiyo kifani,
kuona mrembo wangu wakikugombania,
huku mentor kwa mbali nimejikalia,
ji-enjoy mpendwa wangu, ua la rohoni
jf jiachie kwani we ndo wa ubani
watajigonga wengi
wasojua tuna mengi
nakupenda baby gal
wewe ndo wangu darl!
 
Hahaha...
Unajua badala ya kukasirika/kuona wivu,
nimesikitika kuona wengine wakiwa wavivu,
nimejikuta nikicheka na kufurahi moyoni,
moyo umejaa furaha isiyo kifani,
kuona mrembo wangu wakikugombania,
huku mentor kwa mbali nimejikalia,
ji-enjoy mpendwa wangu, ua la rohoni
jf jiachie kwani we ndo wa ubani
watajigonga wengi
wasojua tuna mengi
nakupenda baby gal
wewe ndo wangu darl!

hahahahaaaaaa dah!
Tiyari wamekwishaanza....
 
Hahaha...Unajua badala ya kukasirika/kuona wivu,nimesikitika kuona wengine wakiwa wavivu,nimejikuta nikicheka na kufurahi moyoni,moyo umejaa furaha isiyo kifani,kuona mrembo wangu wakikugombania,huku mentor kwa mbali nimejikalia,ji-enjoy mpendwa wangu, ua la rohonijf jiachie kwani we ndo wa ubaniwatajigonga wengiwasojua tuna menginakupenda baby galwewe ndo wangu darl!
Oyy yoy yoy!!Nisiponenepa mwaka huu ndo basi tena.Asante Mentor...nahope daddy hatoona hapa!
 
Karibu sana mtoto wa kike. Umekuja na nini ati....maana naona ka some people hawatulii vile!!
Asante Kipipi!Hahahah...niliaga wazee kwa heshima nikawaahidi mambo mazuri nikifanikiwa mjini!
 
Back
Top Bottom