Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Kwahiyo unakua kama mlinzi wangu?!
Hilo la ulinzi ni automatic, lakini ni zaidi ya mlinzi...
Kwahiyo unakua kama mlinzi wangu?!
Mmh!Kwahiyo majukumu yako mengine ni yapi!?
Habari yenu wote wahusika wa hapa?
Nawasalimu katika jina la bwana!Naomba mnikaribishe tafadhali.
Aiseeee!!Haya yote yatanigharimu nini?!
Habari yenu wote wahusika wa hapa?
Nawasalimu katika jina la bwana!Naomba mnikaribishe tafadhali.
Hahaha...
Unajua badala ya kukasirika/kuona wivu,
nimesikitika kuona wengine wakiwa wavivu,
nimejikuta nikicheka na kufurahi moyoni,
moyo umejaa furaha isiyo kifani,
kuona mrembo wangu wakikugombania,
huku mentor kwa mbali nimejikalia,
ji-enjoy mpendwa wangu, ua la rohoni
jf jiachie kwani we ndo wa ubani
watajigonga wengi
wasojua tuna mengi
nakupenda baby gal
wewe ndo wangu darl!
Oyy yoy yoy!!Nisiponenepa mwaka huu ndo basi tena.Asante Mentor...nahope daddy hatoona hapa!Hahaha...Unajua badala ya kukasirika/kuona wivu,nimesikitika kuona wengine wakiwa wavivu,nimejikuta nikicheka na kufurahi moyoni,moyo umejaa furaha isiyo kifani,kuona mrembo wangu wakikugombania,huku mentor kwa mbali nimejikalia,ji-enjoy mpendwa wangu, ua la rohonijf jiachie kwani we ndo wa ubaniwatajigonga wengiwasojua tuna menginakupenda baby galwewe ndo wangu darl!