Hellen kijo bisimba...nakuheshimu lakini kwa hili nimekudharau.

Haki za binaadam ziko kwenye qur an na hadithi za mtume (s w) hukokwingine ni ushetani mtupu .
 
salluh hujui kureply kwa mtu husika a.k.a kumquote mtu?
 
Last edited by a moderator:
Akili uchwara, huwaza mawazo potofu, anzisha kituo chako na wewe uweke waislamu tupu, nyie watu wa ajabu sana mnawaza negative kila saa
Leo nilikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe ya kutimiza miaka 18 ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini tanzania ambayo mkurugenzi mkuu wake ni hellen kijo bisimba, sherehe hizo zilifanyika makao makuu ya kituo hicho lugakingira house kijitonyama. Bila shaka na bila utata sote tunafahamu kuwa kituo hichi si cha kidini na ni public institution, kwa bahati mbaya leo katika sherehe hizo kulikuwa na sura ya kidini ya kikristo, hili lilijidhihirisha pale ambapo (1 )kila mara waimba kwaya walikuwa wakipanda jukwaani na kuimba kwaya, (2) sherehe hizo ziliambatana na uzinduzi wa cd ya kwaya ya kituo hicho (3) board nzima ya kituo hicho tangu ilipoanzishwa pamoja na viongozi wake hapajawahi kuwa na muislam..mama hellen hiyo ni sura ya udini ulio wazi..nakuheshimu sana mkurugenzi..lakini kwa hili you are totally wrong, unaonyesha wazi kuwa upo na umeegemea upande fulani..lifanyie kazi mama yangu.
 
Ndg yangu, wewe mtoa hoja mbona una moyo wa kinafiki hivyo? Ukiisoma hii hoja yaelekea labda uliwahi kuajiriwa hapo ukavurunda ukatolewa sasa unatamani ya kale. Nasema hivi kwa sababu, umesema ulialikwa, sasa wewe una jina la Kikristo au la kiislamu?
Uliingiaje hapo bila vazi la harusi? (Kadi)? Kama ulialikwa basi Helen Kijo Bisimba si mbaguzi ila weye ndiyo mbaguzi mkubwa. Ulienda kule ukachunguze nyimbo na cd? Ili iwe fair kwako nawe ulitaka kaswida isomwe?
Mbona hili jambo sio issue? Acha kuleta hisia zako za kidini hapa. Yaani kwako kila kitu ni cha kidini? Pole
 
Nyie waislamu mnawaza kuonewa tu kila siku, anzisheni kituo chenu na nyie mjiajiri waislamu tupu
Leo nilikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe ya kutimiza miaka 18 ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini tanzania ambayo mkurugenzi mkuu wake ni hellen kijo bisimba, sherehe hizo zilifanyika makao makuu ya kituo hicho lugakingira house kijitonyama. Bila shaka na bila utata sote tunafahamu kuwa kituo hichi si cha kidini na ni public institution, kwa bahati mbaya leo katika sherehe hizo kulikuwa na sura ya kidini ya kikristo, hili lilijidhihirisha pale ambapo (1 )kila mara waimba kwaya walikuwa wakipanda jukwaani na kuimba kwaya, (2) sherehe hizo ziliambatana na uzinduzi wa cd ya kwaya ya kituo hicho (3) board nzima ya kituo hicho tangu ilipoanzishwa pamoja na viongozi wake hapajawahi kuwa na muislam..mama hellen hiyo ni sura ya udini ulio wazi..nakuheshimu sana mkurugenzi..lakini kwa hili you are totally wrong, unaonyesha wazi kuwa upo na umeegemea upande fulani..lifanyie kazi mama yangu.
 
Kwani Mama Kijo Bisimba alikwambia anahitaji heshima yako? kuheshimiwa na mwehu kama wewe is useless
 
Semeni mtakavyosema...lakini ujumbe umewafikia na ndo mana imewauma na mnaanza kukashifu badala ya kutoa hoja..
 
Sijaelewa vizuri, kwaya iliimba ''mapambio'' au mtoa uzi alisikia kichefuchefu alipoona kwaya japo iliimba nyimbo zinazohusu tukio. Nadhani taasisi makini huajiri watu kwa sifa, ukiona taasisi inaangalia kwanza dini ili ''kubalansi'' ajira zake basi hiyo ina udini. Ingeniingia akilini kama kazi zinazofanywa zinawabagua watu wa dini na imani Fulani.
 
Nilijua kuwa utajibu hivyo kwa sababu upeo wako bado mdogo, siku zote hampendi kuitwa wadini na kugeuza kibao kwa yule anayewapasulia ukweli, zungumzia hilo la kwaya limekaaje? Ni sawasawa katika uzinduzi wa rasimu ya katiba ukapige kwaya na uzindue cd ya bahati bukuku...kuhusu uongozi leo ni miaka 18 no even one muslim...tumia akili kaka yangu usipanik.

Halafu kwenye ringer tone zenu mmeweka nyimbo ya Yesu nibebe!! Pambafu kabisa.
 
Leo nilikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe ya kutimiza miaka 18 ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini tanzania ambayo mkurugenzi mkuu wake ni hellen kijo bisimba, sherehe hizo zilifanyika makao makuu ya kituo hicho lugakingira house kijitonyama. Bila shaka na bila utata sote tunafahamu kuwa kituo hichi si cha kidini na ni public institution, kwa bahati mbaya leo katika sherehe hizo kulikuwa na sura ya kidini ya kikristo, hili lilijidhihirisha pale ambapo (1 )kila mara waimba kwaya walikuwa wakipanda jukwaani na kuimba kwaya, (2) sherehe hizo ziliambatana na uzinduzi wa cd ya kwaya ya kituo hicho (3) board nzima ya kituo hicho tangu ilipoanzishwa pamoja na viongozi wake hapajawahi kuwa na muislam..mama hellen hiyo ni sura ya udini ulio wazi..nakuheshimu sana mkurugenzi..lakini kwa hili you are totally wrong, unaonyesha wazi kuwa upo na umeegemea upande fulani..lifanyie kazi mama yangu.

nafkiri ungechukua mda kufikiria vizuri kabla ya kuanza kulalamika. nini maana ya kwaya kwa jinsi unavyofahamu wewe? je kwaya hiyo inatangaza injili? si ajabu kwa taasisi yoyote kua na kwaya. ccm wanayo kwaya (TOT), vikosi vya jeshi navyo vina kwaya, shule za sekondari zina kwaya pia. zote hizo zinaimba nyimbo zenye maudhui tofauti kulingana na malengo yao,lakini hawaimbi nyimbo za dini. angalia kauli za uchonganishi,na kuchafua watu hazijengi.
 

Attachments

  • 555857_521303231284254_700003371_n.jpg
    555857_521303231284254_700003371_n.jpg
    7.7 KB · Views: 301
Thread kama hizi naziogopa! Sijawahi kufikiria kuwa taasisi au mtu fulani katika Tz hii ananinyima/kumnyima haki kwa sababu ya dini yangu! Labda nina matatizo ya akili, but I'm very happy and confident

Yap, cyo post ya kujenga kabisa
 
nimesoma hii thread, cjaona kosa zaidi ya tuhuma tu na mtizamo wa mtoa mada. Kijo c mwandaaji wa sherehe.. Kuwa mpole.
kungek ua na kina dada 3 tuu wanaovaa ushungi bila kujali kama ni waislam ktk taasisi hiyo ungesikia LHRC kuna udini.
 
Leo nilikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe ya kutimiza miaka 18 ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini tanzania ambayo mkurugenzi mkuu wake ni hellen kijo bisimba, sherehe hizo zilifanyika makao makuu ya kituo hicho lugakingira house kijitonyama. Bila shaka na bila utata sote tunafahamu kuwa kituo hichi si cha kidini na ni public institution, kwa bahati mbaya leo katika sherehe hizo kulikuwa na sura ya kidini ya kikristo, hili lilijidhihirisha pale ambapo (1 )kila mara waimba kwaya walikuwa wakipanda jukwaani na kuimba kwaya, (2) sherehe hizo ziliambatana na uzinduzi wa cd ya kwaya ya kituo hicho (3) board nzima ya kituo hicho tangu ilipoanzishwa pamoja na viongozi wake hapajawahi kuwa na muislam..mama hellen hiyo ni sura ya udini ulio wazi..nakuheshimu sana mkurugenzi..lakini kwa hili you are totally wrong, unaonyesha wazi kuwa upo na umeegemea upande fulani..lifanyie kazi mama yangu.

Kwa hiyo wewe kwenye hiyo sherehe ulienda kuangalia kuna WAISLAMU wangapi ambao wapo kwenye kituo,au ulienda kuangalia na kusikiliza kwas kiasi gani Kituo hicho kimeweza kuleta utetezi wa kweli kwenye JAMII,mimi nakushauri anzisha cha kwako na nadhani vipo vingi ambavyo vina majina ya moja kwa moja kuonyesha UDINI,maana tangu jina liaweka utambulisho kwamba ni cha KIISLAMU,nampongeza Kijo kwani pamoja na kwamba yeye ni MKRISTO lakini hajawa mbaguzi katika kutetea wanyonge,acha mawazo ya KIPUMBAVU,kila kitu UDINI,yaani nyie mtafurahi ikiwa tu mtaona maandishi ya KIARABU katika kila kitu,kwaya hata kama haiimbi mambo ya YESU ili mradi imeitwa kwaya kwenu tayari unakuwa mfumo KRISTO,hivi kweli itakuja siku kweli nyie watu mtaelewa maana ya DINI na maana ya UBINADAMU,kile ni kituo cha HAKI za binadamu na UTETEZI,na sio KITUO cha kutafuta WAKRISTO wangapi wapo KITUONI kwa hiyo tutafute na WAISLAMU kadhaa wawepo,hiyo sio objective ya kituo,sio kituo cha Kueneza DINI, ikiwa unaona kuna UDINI achana nao,nenda kunako kufaa,au anzisha cha kwakothen upendelee wa DINI yako halafu uone kama utapigiwa KELELE,
 
...nimekuja mbio kumbe ni mataputapu ya vilaza wasio husisha ubongo na wanacho angalia...? nenda ukapuu ukalale bwamdogo,sijui nani kakualika...
 
  • Thanks
Reactions: vei
Kuhusu uislam na haji za binadamu, labda hujasoma tu lakini haki zote za binadamu zipo direct ndani ya uislam..soma kijana usiogope.

tuongee kwa mifano nitajie haki yoyote ya binadam inayopatikana kwenye quran
 
Kwa hiyo wewe kwenye hiyo sherehe ulienda kuangalia kuna WAISLAMU wangapi ambao wapo kwenye kituo,au ulienda kuangalia na kusikiliza kwas kiasi gani Kituo hicho kimeweza kuleta utetezi wa kweli kwenye JAMII,mimi nakushauri anzisha cha kwako na nadhani vipo vingi ambavyo vina majina ya moja kwa moja kuonyesha UDINI,maana tangu jina liaweka utambulisho kwamba ni cha KIISLAMU,nampongeza Kijo kwani pamoja na kwamba yeye ni MKRISTO lakini hajawa mbaguzi katika kutetea wanyonge,acha mawazo ya KIPUMBAVU,kila kitu UDINI,yaani nyie mtafurahi ikiwa tu mtaona maandishi ya KIARABU katika kila kitu,kwaya hata kama haiimbi mambo ya YESU ili mradi imeitwa kwaya kwenu tayari unakuwa mfumo KRISTO,hivi kweli itakuja siku kweli nyie watu mtaelewa maana ya DINI na maana ya UBINADAMU,kile ni kituo cha HAKI za binadamu na UTETEZI,na sio KITUO cha kutafuta WAKRISTO wangapi wapo KITUONI kwa hiyo tutafute na WAISLAMU kadhaa wawepo,hiyo sio objective ya kituo,sio kituo cha Kueneza DINI, ikiwa unaona kuna UDINI achana nao,nenda kunako kufaa,au anzisha cha kwakothen upendelee wa DINI yako halafu uone kama utapigiwa KELELE,

Mkuu ingekuwa inawezekana ku llike zaidi ya mara moja ,ungepata like zangu 10000000000000000
 
Back
Top Bottom