Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Jana helikopta ya mkulu iligonga mti huko shinyanga.
Mwenye nyeti zaidi atumwagie.
Mwenye nyeti zaidi atumwagie.
Hili swala jamani tuliangalie kwa jicho la kidadisi sana, usije ukashangaa kwamba hii imefanyika makusudi ili kutuzoeza kwamba helkopta huwa zinapatapata ajali, then wakaifanyia helkopta ya mgombea wangu wa urais, ili wao wapite kirahisi zaidi maana wabongo kwa fitina hawajambo any way mungu tusaidie tumalize hii fitina ya kuiba wake za watu kwanza.
Jana helikopta ya mkulu iligonga mti huko shinyanga.
Mwenye nyeti zaidi atumwagie.
Mwenye nyeti nani tena!!? wewe si ndiyo mwenye habari!