KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
ok, nadhani kuna tofauti ya ustaarabu na fujo. anyway mkuu, kwa kuwa umeomba hayo unayoomba Basi acha Mungu atekeleza maombi yako na ya wapinzani, lakini msije mkajuta tu hapo baadae maana leo hii mnaomba kesho mnapewa, be careful for what you wish for !