WEWE NI MJINGA HAUNA AKILI, kama ziwa lote ni la malawi, ile bandari ya mbambabay kule mbinga na ile ya kyela zinafanya nini, mbona muda wote tumekuwa tukisafirisha bidhaa zetu mle bila malawi kuingilia, sasa wameona kuna mafuta ndo wanataka kutuzuia, si wangetuzuia toka zamani tusijenge bandari ya mbambabay pale na kule kyela na kusiwe na usafiri kutoka mbinga hadi kyela kwa maji ya ziwa, zile hotel za matemabeach kule kyela zinafanya nini kwenye maji ya malawi?...are you serious?Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.
Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.
Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.
Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.
Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.
Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.
Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.
Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.
Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
Mkuu Anney,
Kwanza kabisa hii document inasema kwamba mkataba huu ni wa muda "temporarily".
Halafu kwa uangalifu soma vipengele X1 na X11.
Kwenye kipengele cha X1 inasemwa kwamba Sultan atarudisha kisiwa cha Mafya kwa wajerumani kwa ridhaa ya Uingereza bila masharti.
Kipengele cha X11 kinasisitiza kwamba mpaka itakapopitishwa na bunge la Uingereza sehemu hio inabakia kuwa chini ya Uingereza.
Sasa wamalawi wakichukulia hii document wanakuwa wamekosa kila kitu.
Richard,
Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.
Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.
Malawi wako correct.
Richard,
Kigezo cha mipaka ni ramani iliyokuwa submitted huko United Nations. Wanaochora ramani hizikwenye GoogleEarth na GPS zote si wajinga. Ni ramani wanayotumia.
Narudia, haya mambo Tanzania ilitakiwa kuliwasilisha kwenye international community kuliko kudanganya kuwa inachukua hatua zingine ambazo sanasana zitailetea matatizo Tanzania.
Malawi wako correct.
Acha porojo za google earth na treaty za wakoloni uchwara.
UN Convention ya 1982 inasemaje kuhusu mipaka ya majini!??
Wewe ndo twambie sasa hiyo convention ya 1982 inasema nini !
Hapana hawapo right, na muanzisha topic sidhani kama hii ndo hoja ya Wamalawi. Huu ni mtazamo wake Anney yeye binafsiRichard,
Malawi wako correct.
Hapana hawapo right, na muanzisha topic sidhani kama hii ndo hoja ya Wamalawi. Huu ni mtazamo wake Anney yeye binafsi
Kamuzu Banda alijikita kwenye mipaka ya pre-colonial societies/ kingdoms. Ndo maana akasema hata zile wilaya nne za mpakani kwa upande wa Tanzania ni za Malawi.
Nionavyo mimi aidha tuwaachie tu Wamalawi mbona hata Kawawa ashawahi sema hilo ziwa ni lao.
Ila kama tutang'ang'ania basi tufanye hivyo kwa kigezo cha sheria za kimataifa zinazoitwa Littoral law na Riparian law. Hakuna ubishi kati yetu na Wamalawi kwamba hilo ziwa linaunda mpaka. Kwa upande wetu tunasema mpaka upo katikati ya ziwa.
Hata hizi google maps mnazozipost hapa zinaonesha hilo ziwa ndo linaunda mpaka. Na hapa ndipo littoral na riparian law zinaweza kutumika. Kwa mujibu wa littoral na riparian law sisi pia tuna haki ya kumiliki hilo ziwa kwa kigezo kwamba linaunda mpaka wetu hata kama limelalia upande wa Malawi
Serikali ya Tanzania inalijua hili kwa wazi na mapana yake kwamba hatuna haki hata ye tone moja la maji ya Ziwa Malawi.
Serikali haitakiwi kulifanya jambo hili la kisiasa maana kama ni siasa zako utacheza na wananchi wako lakini unaoweza kuwapiga mabomu ya machozi lakini si kwa watu kama Malawi ambao ni Soveregn state subject to international laws.
Kama kweli Tanzania inataka hata tone moja la Ziwa Nyasa, iachane na porojo za kisiasa na i-file lawsuit for the boundary ili mpaka uwe katikati ya maji kama wengine duniani.
Vinginevyo tutapigizana kelele kama wajinga na hakuna litakalotokea. Tutasubiri Rais wa Malawi tunayechekeana naye anayewapiga mabomu wapinzani wake nchini mwake, sisi tunatumia ziwa lile na kudhani kama ni letu.
Kesho wapinzani wa Malawi waliokuwa wanapigwa mabomu ya mchozi wanakamata nchi, na nyinyi mliokuwa ama mnakaa kimya bila kumkemea anaona mnatumia ziwa lake na si lenu. Kwa nini asilie na nyinyi.
Mimi huyu mama wa Malawi namkubali. Inawezekana anawapa fundisho wote waliomkera akiwa mpinzani wa serikali. Unadhani kwa nini alisema hamtaki Omar Bashir kuja mle.
Mwacheni mama yetu awafundishe adabu wote wanaodhani tutafumbia maonevu ya dunia na ndipo mjue muonewaji akikamata power mjue litakalotokea.
Najua kuna watakaonikejeli kuwa sina uzalendo. Hapa si suala la uzalendo. Baba na mama yangu wakifanya ujambazi wa kumdhulumu jirani yangu siwezi kukaa kimya na kuwatetea kwa kinachoitwa uzalendo. Huo ni wizi.
Nendeni Mahakama za Kimataifa kuwashinda wamalawi na msidhani wa kupelekwa mahakamani ni migomo ya madktari na walimu tu.
Haijalishi mpaka upo kwa wapi hizo sheria za riparian na littoral zikitupa umiliki wa namna moja au nyingine hao Malawi hawataruhusiwa hata kujenga bwawa. Mimi naona tuanzie hapoRiparian zones ni maeneo yanayopakana na kingo za ziwa au bahari. Ni kwa mujibu huu ndiyo tukaweza kujenga Mbamba Bay port.
Kuhusu Littoral zone kwa hili ziwa ni ngumu kwa sababu kumbuka hili liko katikati ya rift valley na dimension zake si kama kwenye coastline.
Hivyo, ama utumie Littoral law au Riparian law bado utaipotosha Tanzania kwa sababu si madai yake. Tanzania inataka mpaka uwe katikati wakatikwa hizi mbili haiwezi ku-achieve hiyo goal.
Lakini unajua Treaty hii pia haizitambui nchi za Rwanda na Burundi..Sasa tuwauliza Malawi wao wanazitambua nchi za Rwanda na Burundi?.. kama wanazitambua inakuwaje wanapingana na treaty hii hii wanayoitumia leo kudai Lake Nyasa ni yao..Read this Heligoland treaty document between German & Great Britain which is the one of the documents used by the Malawi government to argue their case.
Wewe ndie mjinga, kwani Malawi wanamiliki ziwa (maji)na sio ardhi ambako nyie mumejenga bandari za Mbambabay na Kyela.WEWE NI MJINGA HAUNA AKILI, kama ziwa lote ni la malawi, ile bandari ya mbambabay kule mbinga na ile ya kyela zinafanya nini, mbona muda wote tumekuwa tukisafirisha bidhaa zetu mle bila malawi kuingilia, sasa wameona kuna mafuta ndo wanataka kutuzuia, si wangetuzuia toka zamani tusijenge bandari ya mbambabay pale na kule kyela na kusiwe na usafiri kutoka mbinga hadi kyela kwa maji ya ziwa, zile hotel za matemabeach kule kyela zinafanya nini kwenye maji ya malawi?...are you serious?
Achana naye huyo. Haelewei kwamba hiyo convention iko valid kama hakuna Treaty.
Unadhani wa-Malawi nao ni wazembe kutunza international document zao kama wewe ulivyoshindwa kutunza Mkataba wa Muunngano wa miaka 48 tu iliyopita??!!