Wakati Mgombea Sioi Sumari akinadi sera zilizojaa matusi na kejeli wa CDM mida ya saa 12 Kasoro,Ilipita Helcopter ya CDM ikielekea Maji ya Chai Kumchukua Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CDM Josh Nassari,Umati iliokuwa hapo uwanjani ulishangilia kwa nguvu huku wakionyesha ishara ya V,hali hiyo ilimfanya Sioi Sumari kutatisha sera na kujikuta akifunga Mkutano kabla hata ya Muda.Waliokuwepo eneo la tukio watakuwa na mengi ya kuongelea juu ya hili maana lilizua zogo kubwa...