NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
nadhani sijui. utanifundisha na kunijibu siku nyingine; ninalala, na wewe nakutakia usiku mwema.Duh!
Hivi hujui kunukuu vizuri au?
Manake ulivyonukuu hapo inaniwia vigumu hata kukujibu.
nadhani sijui. utanifundisha na kunijibu siku nyingine; ninalala, na wewe nakutakia usiku mwema.Duh!
Hivi hujui kunukuu vizuri au?
Manake ulivyonukuu hapo inaniwia vigumu hata kukujibu.
Dah pole sana mkuuWadau nawasalimu,
Kuna mtoto nilizaa na binti mmoja wakati makazi yangu yakiwa Dar, kwa sasa ana miaka 7 na darasa la pili.Nilipoondoka Dar na kuamia mwanza kwa shughuli zangu binafsi niliamua kumpangishia huyu binti chumba na sebule waweze kuishi na mwanangu hapo, na natuma hela za mahitaji yote, ikiwemo kodi, kula, afya na ada ya mtoto, huyu mzazi mwenzangu hana shughuli yeyote kwenye maisha, namhudumia mimi kila kitu.
Sasa hivi karibuni ameleta jitu moja hapo nilipompangisha na linaishi nae humo humo na mtoto wangu, binti na hili jitu wanasubiri hizi hizi hela za matunzo ninazotuma ndio waishi, Je hii ni haki?
Ina maana huyu mwanaume anatembea na mama wa mtoto wangu humo humo huku mtoto akiwa amelala humo maana ni chumba na sebule tu, Je hii ni haki?
Hizi taarifa nilizisikia muda mrefu kupitia kwa mwenye nyumba ambae tuna mawasiliano ya karibu,sasa kuanzia January nikaacha kutuma pesa za matunzo, tukawa na mzozo, akanipeleka ustawi wa jamii, wakanipigia simu niende Dar, hivi juzi ndio nimekuja, ustawi wa jamii wakanieleza mambo ya ajabu sana na sifuati hata moja.
Masharti yangu ni haya, huyo mwanaume aondoke hapo, kama anaendelea kukaa hapo alipe hiyo kodi mwenyewe, au wanipe mtoto niondoke nae pia hawataki.
Nimeenda ustawi wa jamii kwenye hiyo kesi nashangaa kumkuta na yule jamaa pale kaja na mzazi mwenzangu, ikabidi niwaulize wale maafisa huyu anahusikaje hapa.
Nilitaka nimpe kipigo kizito huyo jamaa, bahati yake nikakuta ana li mwili la kuinua vyuma, halafu ni kama anavuta bang,e hivi kikao kiliisha bila muafaka.
Nimempa mwanamke masharti akiyafuata ndipo narudisha huduma
Au wadau nimekosea?
hivi hii tabia ya kuwapelekea wazazi wenu kina bibi mizigo ya kulea wajukuu mnaitoa wapi? Wazazi wanahitaji kupumzika na kula mema ya uzee na si kulea wana wa wana. Mbebe mizigo yenu wenyewe. Watoto waende kwa bibi kusalimia au kuwapa company wakishakuwa wakubwa.Mtoto apelekwe kwa bibi yake wa pande yeyote kisha kata mirija yote ya ulaji kwa huyo mwanamke. Fedha ziende kwa bibi. Kama hilo haliwezekani fanya haraka kumuhamisha huyo mtoto haraka. Hilo libwana wanapanga njama mbaya sana dhidi yako beleive me
Sio wivu, yaani mm nimlishe baba mzima!!
Kwani ni mwanae peke yake? Mama yeye hana haki ya kuipata hiyo raha?Wewe kwa nini usimchukue mwanao uishi naye wewe?
Ni raha sana kuishi na mwanao.
Hivi unajua kweli unachokikosa?
Hahahaaaa!! Kwakweli na atoe tu.Wewe toa tu Mungu atakulipa..