Zaidi ya laki nane zimehamishwa toka kwenye account ya pesa kwenye simu ya mke wake na mtu asiyefahamika, Mara ya kwanza ziliamishwa laki 4 kwenye simu yake na sasa tena wamehamisha zaidi ya laki 4. Hela hizo ni michango ya wasamalia wema wanayotuma kwa ajir ya kumpeleka mume wake (sajuki) kwenda india kwa ajiri ya matibabu. Hadi sasa haijafahamika nani anahamisha hela hizo. My take:
hizi tigo pesa, m-pesa siyo za kuziamin sana!
Source: twitter-millard hayo
Bank gani hio? Ikiwa ulicommand kutoa kiasi fulani na hukukipata ila hela imepungua kiasi kilekile it means hio ni ATM misbehaviour na ulitakiwa uclaim wakurudishie hela yako.usiseme acount za benk, nako tunaibiwa kupitia ATM. Juzi baada ya kupata sms ya kuingia mshahara wangu kwenye account. Nilienda kuchukua hela, lakini baada ya ku,komand ATM initolee kiasi nachotaka, ATM haikujoa na nilipo chek salio nikakuta hela pungufu. Niliueleza uongozi wa benk, tukatoa benk statement ndipo tukabaini kua hela sh laki 3 zilitoka jana yake. Benk hajazirejesha hadi leo. Japokua wamekiri kua huo ni wizi ulitokea.
Bwn Mbumbumbu mi nakusalimia tu..Usikurupuke kupost.. Tulia bwana, weka habari sawa ieleweke.. We vipi, unajiita CPA halafu unaweka habari isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, hata katikati haina.. No contents at all!
Jipange dada/kaka.
Kuishtaki itakuwa ngumu kwasbb hakuna mkataba wowote unahusu transaction za hela kati ya mtumiaji wa simu na kampuni kama ilivyo wakati wa kufungua bank account!
Mtu kama huyo ukimuotesha kibusha sidhani kama litakua kosa.
Mtu kama huyo ukimuotesha kibusha sidhani kama litakua kosa.
Zaidi ya laki nane zimehamishwa toka kwenye account ya pesa kwenye simu ya mke wake na mtu asiyefahamika, Mara ya kwanza ziliamishwa laki 4 kwenye simu yake na sasa tena wamehamisha zaidi ya laki 4. Hela hizo ni michango ya wasamalia wema wanayotuma kwa ajir ya kumpeleka mume wake (sajuki) kwenda india kwa ajiri ya matibabu. Hadi sasa haijafahamika nani anahamisha hela hizo. My take:
hizi tigo pesa, m-pesa siyo za kuziamin sana!
Source: twitter-millard hayo
dah...
hivi hawa wana mikosi gani lakini?
is this normal?