mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
palikuwa hapatoshi na inasikitisha sana kwakeli
View attachment 41936
Haini ingii akilini kirahisi,hapo ilipo tokea ajali ni jirani sana na ubungo mataa,sasa hilo lori liliwezaje kuwa speed wakati limetoka kwenye mataa?,hapo kuna kitu,ninahisi kama huyo dereva hakuwa mkini thats why alishindwa kulikontroo gari na kuhama njia...
Madereva wengi sasa wamekosa umakini na uwezo wa kuendesha au kuviongoza vyombo vya moto, kwa upande mwingine tunadai miundombinu ya barabara haijitoshelezi, magari yanayotumiaka ni mabovu lakini kwa asilimia kubwa Madereva wanachangia ajali hizi kwa sababu ya mwendo kasi na kutokuzingatia alama za barabarani.