Hebu WANAUME tukae kitako tujadili haya . . . .!!

Kwa vile neno hovyo limetokea sana..namsubiri hovyohovyo aje tia neno nami ntaendelea
Ndg Data, kweli jamaa hapendi mambo yende hovyohovyo. Hapa mimi naona pande zote mbili zinatakiwa kushare blame. Yaani mwanamke ana nafasi yake ktk kuleta shida alizotaja mtoa mada, hali kadhalika mwanaume.
 
naomba nikuulize swali je waweza kuuza bidhaa dukani mwako kama haina mteja?

na kama bidhaaa haina mteja inamaana gani?

well....sawa sikatai kuwa wanaume tunapenda sana sex bila commitment na machangu offer that. sasa kama kila demand ya mwanaume wanawake wangekuwa wanatoa itakuwaje hapa duniani? the issue here is kwa nini wanawake wasiwe na maadili na kuzingatia kuwa wao ndio wenye uwezo wakufanya wanaume wawe hawatumi changu by wao wenyewe kutotoa hiyo service. its abt morals and nothing to do with demand and supply hapa
 
kweli akili nayo inamwishoooo.una miaka mingapi ndugu yangu?????????????,unaishi wapi,?kama ulishapita pita dsm utaiweka hiyo sentensi virse versa its so personal

my age is of no importance hapa. nor is my argument personal it just simple truth.
wewe kama wanawake wangekuwa wanasema hapa hapewi mtu K mpaka anioe unadhani nyumba ndogo zitakuwepo? lakini kwa sasa baba wanawake nao ndio wanatoa kama peremende basi jamaa wanamega.
mimba...bwana hili ni simple biology ya form 2 demu ndio anaamua either nipate mimba au lah...najua utasema kuwa oh kwani mwanaume ajui kuwa tendo linaweza kuleta mimba...thia answer is simple keep ur legs closed mpaka marriage tuone kama mimba za kifalafala zitatokea. ala pili kama mwanaume hajakwambia anataka mtoto basi jua kabisa hataki.
ukahaba well goes back to point one...fungeni miguu hamna man atakayepata K na hukaaba hamna
 
Asprin nimekuja ila naona hapa we ndio umeamua kuendeleza maneno wakati platozoom kasema mwanaume maneno kumi tu then tunaenda zetu kugonga ndofu.....
Ukimaliza marumbano utanikuta kona bar niko na Bishanga na Kaizer tunawangoja gfsonwin na The secretary wanakuja

Hahahah samahani wanaume wenzangu. Ni huyu Eiyer kaniingiza chaka. Anataka nikae kitako nijadili kama wanawake. Nakuja mwanaume mwenzangu. Weka oda ya mkia na ashua.
 
Last edited by a moderator:
my age is of no importance hapa. nor is my argument personal it just simple truth.
wewe kama wanawake wangekuwa wanasema hapa hapewi mtu K mpaka anioe unadhani nyumba ndogo zitakuwepo? lakini kwa sasa baba wanawake nao ndio wanatoa kama peremende basi jamaa wanamega.
mimba...bwana hili ni simple biology ya form 2 demu ndio anaamua either nipate mimba au lah...najua utasema kuwa oh kwani mwanaume ajui kuwa tendo linaweza kuleta mimba...thia answer is simple keep ur legs closed mpaka marriage tuone kama mimba za kifalafala zitatokea. ala pili kama mwanaume hajakwambia anataka mtoto basi jua kabisa hataki.
ukahaba well goes back to point one...fungeni miguu hamna man atakayepata K na hukaaba hamna

Amen to this useful post. Mkwe Fixed Point njoo kamata haya material.
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 angalia kilichonifanya nijibu kama nilivyojibu tafadhali,sina haja ya kuendeleza mjadala usiokua na maana,nataka tujadili mada!
 
Last edited by a moderator:
Hahahah samahani wanaume wenzangu. Ni huyu Eiyer kaniingiza chaka. Anataka nikae kitako nijadili kama wanawake. Nakuja mwanaume mwenzangu. Weka oda ya mkia na ashua.

Heheheee fanya faster achana na MMU huku ni mwendo wa nyama choma na cheers mwanzo mwisho!
Uje na kitu kimoja cha ukweli aisee kuna upungufu huku!
 
Erickb52 angalia kilichonifanya nijibu kama nilivyojibu tafadhali,sina haja ya kuendeleza mjadala usiokua na maana,nataka tujadili mada!

Shortly Eiyer ni hivi:
Mwanaume hana muda mwingi wa kukaa na familia...sisi kwa kawaida tuko busy kutafuta maisha mazuri na kuweka familia iwe na raha,mambo ya kusema tuko hovyo sidhani kama uko sahihi ila WANAWAKE ndio WA HOVYO kama matatizo hayo yamejitokeza.
Mwanaume ninaongoza familia ila kwa malezi mama ndiye muhusika mkuu ikitokea watoto wakaharibika wa kulaumiwa ni mama na si baba!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 hebu rudi usome mada halafu uje ujenge hoja upya,utajua nimesema wanaume ni wa hovyo kwa misingi ipi maana aina ya maswali unayoniuliza inaonekana hujanielewa na umekuja kishabiki zaidi!!
 
Last edited by a moderator:
Najua jukumu la mwanaume ni kuleta mambo chanya kwa familia yake na jamii inayomzunguka.Yameshasemwa mengi sana,lakini bado yatasemwa.MWANAUME anajulikana ndie KIONGOZI wa jamii katika hali zozote,hili halina ubishi,sasa kama kiongozi anakuwa wa hovyo hata kile anachokiongoza nacho kitakua hivyo hivyo.Ni ukweli ulio wazi jamii yetu leo ni ya hovyo,kama ni ya hovyo ni lazima kiongozi ndo ameruhusu hayo na kwa upande mwingine nae ni wa hovyo.Kuna mambo kama ukahaba,watoto wa mitaani na kukosekana uaminifu kwenye ndoa/mahusiano,ninaamini kama wanaume tungekua dhabiti,hata kungekua hakuna huu ujinga wa kudai haki sawa.Naita ujinga kwa sababu wanaume kwanza tangu mwanzo,mwanaume ndo alikua anahudumia familia alipochemka mwanamke ikabidi aende nae front line,mwanaume alipowaka tamaa alianza kumshawishi mwanamke kumpa mwili wake kwa malipo ndipo ukaibuka ukahaba,still mwanaume akashindwa kuridhika na mkewe akaenda kuanzisha nyumba ndogo(kuna wajinga wanasapoti hili)matokeo yake wanatelekeza familia maisha yanakua magumu watoto nao wanaingia mtaani tunapata watoto wa mtaani.Haya ni makosa makubwa yaliyofanywa na yanafanywa nasi leo,yapo mengi lakini hebu tuyajadili hayo leo.Najilaumu mimi kama sehemu ya wanaume na nawalaumu wenginepia kwa sababu inafahamika mwanaume pekee ndie alikua mtafuta riziki so ndie alikua anatoka nyumbani na kumuacha mwanamke,na mwanaume ndie alikua mtoa maamuzi kuanzia familia,mtaa hadi taifa,sasa tutakwepaje lawama?Sisi ndo tulioanzisha upuuzi mwingi kwa kuwa ndo tulikua na mamlaka.Wateja wa makahaba ni wanaume,wanaoanzisha nyumba ndogo ni wanaume,wanaowapa ujauzito wanafunzi ni wanaume,mambo ya hovyo tunayofanya ni mengi halafu tunayatetea,this is a shame.Unadhani unapoonesha mambo ya hovyo na tabia za hovyo,unadhani unaemuongoza atakuheshimu?Sidhani,ndo maana wanawake kudai haki sawa naita ujinga kwa kuwa kumetokana na udhaifu wetu wanaume.Hebu leo tusemezane tulikosea wapi ili tuparekebishe ili turudishe heshima yetu jamani!
Kwanza Eiyer umetumia lugha kali na ya kutufedhehesha.....inaonyesha jinsi gani wewe ni hovyo!
Ungekuja na kugha nzuri walau tungeweza kujadili ila hapa naona nyota tu ngoja niwahi zangu kulala!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 hebu rudi usome mada halafu uje ujenge hoja upya,utajua nimesema wanaume ni wa hovyo kwa misingi ipi maana aina ya maswali unayoniuliza inaonekana hujanielewa na umekuja kishabiki zaidi!!

Nimesoma na nimeielewa sana tu ila Eiyer kubali umetumia lugha kali inayotukatisha tamaa....!
Hata wanawake siku hizi ni wa hovyo sana tu!
Kwani unaposema tunakuwa na nyumba ndogo...hizo nyumba ndogo ni za kiume? Si wanawake hao? So kwanini wao wasiwe wa Hovyo?
Tunapowapa mimba...je hao no wanaume?
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 ni bora umekua muungwana kwa kusema unaona nyota.Kisha umesema kulala,hilo ni jambo la faida kwa afya yako usije ukajitia aibu kwa kupost *****.MWANAUME yoyote hawezi kukimbia mijada chanya kama hii,ila wanaokimbia ni kinyume chake!
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 ujinga wa mwanaume hauwezi kusafishwa kwa kuwarushia lawama zisizowahusu wanawake,jambo la msingi ni kukubali makosa na kuangalia pa kuanzia kurekebisha huo ndio UANAUME!!
 
Last edited by a moderator:
Asprin nimekuja ila naona hapa we ndio umeamua kuendeleza maneno wakati platozoom kasema mwanaume maneno kumi tu then tunaenda zetu kugonga ndofu.....
Ukimaliza marumbano utanikuta kona bar niko na Bishanga na Kaizer tunawangoja gfsonwin na The secretary wanakuja

Mmmmmh mdau wa kupigiwa mfano.....nasikia ndovu wameongeza alcohol kiaina........Twen'zetu kuchangia pato la taifa
 
sasa mwanaume akilipa ada ya shule, kujenga nyumba, kuleta matumizi nyumbani na vitu kama hivyo, je mwanamke pesa yake inakua inatumika kwa shughuli gani?..maana unakuta mwanamke anafanya kazi kila kitu unafanya mwanaume..at the end of the day anakuja omba hela ya kutengeneza nywele kwako, kwao cjui kuna tatizo anakuomba mwanaume..limitations lazima iwepo huwezi jipatia majukumu makubwa kwa kisingizio cha wewe ni mwanaume...ova..
 
my age is of no importance hapa. nor is my argument personal it just simple truth.
wewe kama wanawake wangekuwa wanasema hapa hapewi mtu K mpaka anioe unadhani nyumba ndogo zitakuwepo? lakini kwa sasa baba wanawake nao ndio wanatoa kama peremende basi jamaa wanamega.
mimba...bwana hili ni simple biology ya form 2 demu ndio anaamua either nipate mimba au lah...najua utasema kuwa oh kwani mwanaume ajui kuwa tendo linaweza kuleta mimba...thia answer is simple keep ur legs closed mpaka marriage tuone kama mimba za kifalafala zitatokea. ala pili kama mwanaume hajakwambia anataka mtoto basi jua kabisa hataki.
ukahaba well goes back to point one...fungeni miguu hamna man atakayepata K na hukaaba hamna

well....sawa sikatai kuwa wanaume tunapenda sana sex bila commitment na machangu offer that. sasa kama kila demand ya mwanaume wanawake wangekuwa wanatoa itakuwaje hapa duniani? the issue here is kwa nini wanawake wasiwe na maadili na kuzingatia kuwa wao ndio wenye uwezo wakufanya wanaume wawe hawatumi changu by wao wenyewe kutotoa hiyo service. its abt morals and nothing to do with demand and supply hapa
either wewe ni mtoto au unaishi nchi ya kufikirika!!

sasa mwanaume akilipa ada ya shule, kujenga nyumba, kuleta matumizi nyumbani na vitu kama hivyo, je mwanamke pesa yake inakua inatumika kwa shughuli gani?..maana unakuta mwanamke anafanya kazi kila kitu unafanya mwanaume..at the end of the day anakuja omba hela ya kutengeneza nywele kwako, kwao cjui kuna tatizo anakuomba mwanaume..limitations lazima iwepo huwezi jipatia majukumu makubwa kwa kisingizio cha wewe ni mwanaume...ova..
a man provides for his family.. kama mkeo anakuomba hela ya saluni everyday, uliingia chaka ktk ndoa; hukuona hii tabia wakati wa uchumba?
 
either wewe ni mtoto au unaishi nchi ya kufikirika!!

a man provides for his family.. kama mkeo anakuomba hela ya saluni everyday, uliingia chaka ktk ndoa; hukuona hii tabia wakati wa uchumba?

sio nchi yakufikirika bwana...sie tumeishi kwenye inchi ambazo ninachoongelea nimekiona bwana...kama pakistan na saudi arabia wanaweza kwa nini wanawake wakibongo wasiweze? tatizo sie ni vigeugeu. mara oh sio maadili yetu ushoga alafu hao hao wanachukulia poa premarital sex.....tuamue moja tuu its wrong period. the popularity of a practice doesnt necessarily make it right!!!
 
Shortly Eiyer ni hivi:
Mwanaume hana muda mwingi wa kukaa na familia...sisi kwa kawaida tuko busy kutafuta maisha mazuri na kuweka familia iwe na raha,mambo ya kusema tuko hovyo sidhani kama uko sahihi ila WANAWAKE ndio WA HOVYO kama matatizo hayo yamejitokeza.
Mwanaume ninaongoza familia ila kwa malezi mama ndiye muhusika mkuu ikitokea watoto wakaharibika wa kulaumiwa ni mama na si baba!
Erickb52 nafikiri wewe na Asprin hajamuelewa Eiyer hata kidogo. yeye alimaanisha wanaume ndio chimbuko la aovu mengi tunayoyaona katia dunia hii. hebu nikuulize swali sawa ashume mimi ni kahaba najiuza hivi kama hakuna mnunuaji nitakwenda kuuza? sinitadodewa manake kama kitu hakina soko ni smple kwamba hakitanununuliwa na virse versa.

pia wanaume wanakataa majukumu yao hasa ya kuwajibika kijamii. wengi wa wanaume wasokuwa na akili huwa wanapenda kukojolea tu kisha wanaondoka sasa zao likiwa ni mtoto ndo kasheshe anamkataa.

wewe unaish arusha nafikiri unajua kwamba mmasai haoi hadi aue simba, kwahiyo kuzaliwa tu mmasai hakutoshi kukufanya eti uwe hodari na kukubali jukumu mazito ya kuoa hadi uuue simba. sasa unafikiri kwa sheria za mali asili kama simba wanalindwa ni definately kwamba hawatapata wa kuua and as a result watatafuta othermeans za kujustfy uanaume wao and not this one.

Like wise kuwa mwanamke hawez kuwa mzazi ama muuza mwili wake kama huyu mnunuzi hayupo, na akikosekana basi ni wazi kwamba bidhaa haina soko na basi atatafuta njia nyingine ya kuish and not kuuza huu mwili.
 
Back
Top Bottom