Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
- Thread starter
- #101
sasa mwanaume akilipa ada ya shule, kujenga nyumba, kuleta matumizi nyumbani na vitu kama hivyo, je mwanamke pesa yake inakua inatumika kwa shughuli gani?..maana unakuta mwanamke anafanya kazi kila kitu unafanya mwanaume..at the end of the day anakuja omba hela ya kutengeneza nywele kwako, kwao cjui kuna tatizo anakuomba mwanaume..limitations lazima iwepo huwezi jipatia majukumu makubwa kwa kisingizio cha wewe ni mwanaume...ova..
Kama mwanamke anafanya kazi halafu anakuomba hela ya saluni,hiyo kazi si aiache?