LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mi ni mkazi wa Jiji la Arusha! Kuna ki2 kinanitatiza sana kwani nimeona wanafunzi wengi wa matajiri hapa kumalizia mamilioni ya Tsh shule za Uganda,Swali kwangu ni Je? Wizara ya elimu hili wameliwekaga vipi? Hebu twendeni pamoja kwa wanaolijua,CV ZAO WANAZITAMBUJE?