Hebu linganisha haya mambo halafu toa maoni yako

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,798
218,445
Hivi ndivyo wanavyotofautiana Wakenya na Watanzania

Angalia hawa

Screenshot_2023-11-28-22-55-32-1.png


Halafu angalia na hawa

Screenshot_2023-11-28-22-55-21-1.png
 
Shida ni kua, Wanasheria wa Tanzania asilimia kubwa ni vilazaa ,FATILIA matokeo yao ya shule ya SHERIA....ni watu wanaosoma kufaulu mitaan, yaan kukuta Wanasheria wenye bichwa km vya Lissu, Mwabukusi , madeleka,,, ni wachacheee na bahati mbaya wako nje ya mfumo.

Walioko Kwa mfumo ni wapuuzi wengi walosoma Kwa kukalili, wakaunganishwa kwenye vitengo .

Ukichanganya na Kuchumia Tumbo ,Unafiki , kukoswa uzalendo ,ndo kabisaaaaaaaaa.

Hii Nchi hata mtu aseme, Sasa tunakabidhi Nchi Kwa Mkoloni, Mahakama itanga mkono.

Kuna Kizazi Cha wazee makini kimepita, Sasa tuko kwenye kizazi Cha wazee wapumbavu, walolithisha Upumbavu Kwa watoto wao.

Shida juu ya shida
 
Shida ni kua, Wanasheria wa Tanzania asilimia kubwa ni vilazaa ,FATILIA matokeo yao ya shule ya SHERIA....ni watu wanaosoma kufaulu mitaan, yaan kukuta Wanasheria wenye bichwa km vya Lissu, Mwabukusi , madeleka,,, ni wachacheee na bahati mbaya wako nje ya mfumo.

Walioko Kwa mfumo ni wapuuzi wengi walosoma Kwa kukalili, wakaunganishwa kwenye vitengo .

Ukichanganya na Kuchumia Tumbo ,Unafiki , kukoswa uzalendo ,ndo kabisaaaaaaaaa.

Hii Nchi hata mtu aseme, Sasa tunakabidhi Nchi Kwa Mkoloni, Mahakama itanga mkono.

Kuna Kizazi Cha wazee makini kimepita, Sasa tuko kwenye kizazi Cha wazee wapumbavu, walolithisha Upumbavu Kwa watoto wao.

Shida juu ya shida
Aiseeeee
 
Hivi ndivyo wanavyotofautiana Wakenya na Watanzania

Angalia hawa

View attachment 2828044

Halafu angalia na hawa

View attachment 2828045
Wala hakuna tatizo kwani Tanzania inaendeshwa Kwa kuigilizia Kenya?

Mbona Nchi kibao zinaendesha biashara ya Bandari Kwa ubia? Maana msipotoshe Kwa sababu Tanzania inafanya ubia Kwa kuundwa kampuni ya uendeshaji yenye member wa DP World na Serikali.
 
Back
Top Bottom