Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,445
Hivi ndivyo wanavyotofautiana Wakenya na Watanzania
Angalia hawa
Halafu angalia na hawa
Angalia hawa
Halafu angalia na hawa
AiseeeeeShida ni kua, Wanasheria wa Tanzania asilimia kubwa ni vilazaa ,FATILIA matokeo yao ya shule ya SHERIA....ni watu wanaosoma kufaulu mitaan, yaan kukuta Wanasheria wenye bichwa km vya Lissu, Mwabukusi , madeleka,,, ni wachacheee na bahati mbaya wako nje ya mfumo.
Walioko Kwa mfumo ni wapuuzi wengi walosoma Kwa kukalili, wakaunganishwa kwenye vitengo .
Ukichanganya na Kuchumia Tumbo ,Unafiki , kukoswa uzalendo ,ndo kabisaaaaaaaaa.
Hii Nchi hata mtu aseme, Sasa tunakabidhi Nchi Kwa Mkoloni, Mahakama itanga mkono.
Kuna Kizazi Cha wazee makini kimepita, Sasa tuko kwenye kizazi Cha wazee wapumbavu, walolithisha Upumbavu Kwa watoto wao.
Shida juu ya shida
Aibu sana !Tanzania hakuna mahakama, kwasabb wanasheri wetu wanajikomba kwa watawala ili wapate teuzi.
Ukiunganisha na yale maneno ya Rostam Aziz, unaona kabisa mahakama zetu haziko huru.Hivi ndivyo wanavyotofautiana Wakenya na Watanzania
Angalia hawa
View attachment 2828044
Halafu angalia na hawa
View attachment 2828045
Hakika .Ukiunganisha na yale maneno ya Rostam Aziz, unaona kabisa mahakama zetu haziko huru.
Wala hakuna tatizo kwani Tanzania inaendeshwa Kwa kuigilizia Kenya?Hivi ndivyo wanavyotofautiana Wakenya na Watanzania
Angalia hawa
View attachment 2828044
Halafu angalia na hawa
View attachment 2828045