vicent tibaijuka
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 268
- 57
jaribu kupima pressure! angalia sana si dalili nzuri! kama hata huoni mbali lazima uende haraka kwa dr. pia yaweza kuwa kipanda uso. nenda kama unanguvu sasa hivi uombe pimwa malaria kama una homa, BP, nk.Kuumwa kichwa kila siku,mtu akiinama anaenda moja kwa moja,na kuna wakati haoni mbali na kupata kizunguzungu,na kichwani kuchoma choma kwa ndani.Akilala kitandani anaona kama anazunguka.