Onana na Dr yawezakan moja kati ya haya au jengine
-Upuungufu wa macho labda unataka glasses
-Migrane kama ni one side
-Gas pia inasabisha, angalia chakula chako. Once I thought nina cance ya kichwa kumbe gas ilikuwa inanisumbua:A S-cry:
Pole sana ndugu ,hata mimi nina rafiki yangu anakunywa panadol na hedex kama pipi,naye ameshapewa miwani lakini haijamsaidia,kwa wanaojua jamani saidieni hili.
wandugu,naomba mnisaidie kumpata daktari wa maradhi ya kichwa.
Kichwa changu huwa kinauma sana na nimeshakwenda hospital nikapatiwa miwani mara mbili ila bado kinanisumbua.
naomba kwa yeyote anayemfahamu daktari anayetibu maradhi ya kichwa maana hii hali inazidi kuniumiza.
Mkuu ulipona?Ili tatizo la kusumbiliwa na kichwa na mimi limenianza kama wiki mbili hivi zimepita baada ya kumeza dawa za malaria kichwa kimeniuma mfululizo hasa nyakati za usiku, nimecheck dama hiko 13 ambapo dakitari ameniambia ni kiwango kizuri kwa mwanaume, typhoid sijapima bado. natoka jana na nimeanza kusikia misuli ya macho ikikaza, hivyo leo jioni nimepanga nikacheck typhoid na Macho.