Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,212
- 6,564
Ila kiukweli wafuasi wengi wa Magufuli ni mazezeta walimuamini sana kila anachosema hata ujenzi wa flyovers na madaraja ya baharini yote alijidai ni juhudi zake wakati vyote vilifanikishwa na JK lakini ujenzi ulikuja kufanyika wakati tayari Magufuli ameingia madarakani hata airport alijidai kujenga yeye tena kwa kujigamba sana na kutukana wenzake waliomtangulia.
Lilikuwa jitu la ovyo sana.
Lilikuwa jitu la ovyo sana.