Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Chikenpox

JF-Expert Member
Oct 15, 2022
784
1,247
Mimi nakubali sana kuwa JPM alikuwa na utashi mkubwa na nchi hii lakini uwezo alikuwa hana. Hii inadhihirishwa na miradi mikubwa aliyoianzisha, japo nina uhakika asingeweza kuimaliza maana tayari alinipiga pini yeye mwenye kwa kuweka mazingira magumu kwa wafanyabiashara wakubwa, kutoamini kuwekeza tena nchini kwa sababu ya kufokafoka kwake na ikumbukwe hawa ndiyo walipa kodi. Yeye alibaki tu anazalisha machinga wengi ambapo kimsingi hawalipi kodi.

Pili alishajenga ukuta na mataifa wahisani kwa kauli zake hivyo mikopo au misaada tukanyimwa kabisa.

Ndiyo alipenda nchi yake lakini uwezo alikuwa hana. Akaanza kuvamia akaunti za matajiri ili kuiba hela kwa ajili ya kumaliza miradi hiyo ambapo in the long run nchi ingeburuzwa mahakamani ndio maana kila kukicha ndege zilikuwa zinakamatwa hapa na pale ambapo baadae shirika lingejikuta halina ndege tena.
 
Ujui uwezo wa Magufuli Wewe, Magufuli alifungua masoko ya madini na akaingia mkataba na warabu kuwa madini yote yatanunuliwa kutoka hapa nchini,akawa anapata kodi yake bila buguza,ndio maana haukuweza kuona mambo ya tozo,mashariti ya ovyo kwenye mambo ya mikopo,mairais wa nchi kubwa waliomwitaji walikuja wenyewe, pasipo yeye kujipereka kama changu kuuza rasilimali za nchi eti unatafuta wawekezaji,huku wakija unawaambia wasilipe kodi miaka 5, lakini wananchi wako unawaibia chao kupitia tozo na kodi mbalimbali.
 
Ujui uwezo wa Magufuli Wewe, Magufuli alifungua masoko ya madini na akaingia mkataba na warabu kuwa madini yote yatanunuliwa kutoka hapa nchini,akawa anapata kodi yake bila buguza,ndio maana haukuweza kuona mambo ya tozo,mashariti ya hovyo kwenye mambo ya mikopo,mairais wa nchi kubwa waliomwitaji walikuja wenyewe, pasipo yeye kujipereka kama changu kuuza rasilimali za nchi eti unatafuta wawekezaji,huku wakija unawaambia wasilipe kodi miaka 5, lakini wananchi wako unawaibia chao kupitia tozo na kodi mbalimbali.
Kumbuka miaka mitano hakuweza kuajiri kabisa ndo chanzo Cha walimu, madaktari na manesi kujaa mtaani ambapo amempa shida sana mama kuwaabsorb wote Hawa. Kundi ni kubwa mno. Jk alikwenda vizuri sana ambapo alikuwa anaajiri sector hizi kwa maelefu labda ukatae mwenyewe kuajiriwa na serikali na ukumbuke enzi za jk private sector ilikuwa strong kiasi ambacho wengi hawakitaka kuajiriwa serikalini kabisa. Halafu ukumbuke miaka mitano yote hakuweza kuongeza kabisa mishahara ambapo jk alikuwa anaongeza kila mwaka na hii ikapelekea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa. Hili neno vyuma vimekaza limeanza kuimbwa kipindi Cha jpm. Hii ni proof kwamba serikali ya jpm haikuwa na hela ila mabavu tu na ndo mana alitamani kuvifuta vyombo vyote vya habari ali asihojiwe kwa lolote na udictator umeanzia kwake.
 
Jembe
JamiiForums-454516466.jpg
 
Kumbuka miaka mitano hakuweza kuajiri kabisa ndo chanzo Cha walimu, madaktari na manesi kujaa mtaani ambapo amempa shida sana mama kuwaabsorb wote Hawa. Kundi ni kubwa mno. Jk alikwenda vizuri sana ambapo alikuwa anaajiri sector hizi kwa maelefu labda ukatae mwenyewe kuajiriwa na serikali na ukumbuke enzi za jk private sector ilikuwa strong kiasi ambacho wengi hawakitaka kuajiriwa serikalini kabisa. Halafu ukumbuke miaka mitano yote hakuweza kuongeza kabisa mishahara ambapo jk alikuwa anaongeza kila mwaka na hii ikapelekea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa. Hili neno vyuma vimekaza limeanza kuimbwa kipindi Cha jpm. Hii ni proof kwamba serikali ya jpm haikuwa na hela ila mabavu tu na ndo mana alitamani kuvifuta vyombo vyote vya habari ali asihojiwe kwa lolote na udictator umeanzia kwake.
Tafuta tarifa ujisomee acha kukalili maneno ya vijiweni,uliza Magufuli alifungua hospital na Zahanati ngapi,hao walopelekwa kwenye Zahanati na hospital walitokea wapi kama sio kuajiliwa?unaweza kuonyesha malalamiko ya hospital yeyeto nchini ikionyesha upungufu wa madaktari kama kipindi cha Kikwete? Magufuli aliajiri kwa tija sio kwa miemuko ,mradi umeajili.
 
Miradi yote ingelifika bila shida, na tukumbuke, maendeleo ni gharama' ni kujinyima sana ili kufikia lengo,

Serikali yeyote inayoona haya kudai kodi iwe kistarabu ama kwa nguvu! Ni vigumu kufikia lengo maana asilimia kubwa ya kiumbe anaitwa binadamu hapendi kulipa kodi bila kushinikizwa na hata asiposhinikizwa hatalipa anayotakiwa alipe

JPM hakuwapa nafasi kina Mbowe na wengine wafanya biashara wahuni na wasiolipa kodi, mpaka leo wamekunja sura kama ndimu kisa, kulipa kodi
 
Tafuta tarifa ujisomee acha kukalili maneno ya vijiweni,uliza Magufuli alifungua hospital na Zahanati ngapi,hao walopelekwa kwenye Zahanati na hospital walitokea wapi kama sio kuajiliwa?unaweza kuonyesha malalamiko ya hospital yeyeto nchini ikionyesha upungufu wa madaktari kama kipindi cha Kikwete? Magufuli aliajiri kwa tija sio kwa miemuko ,mradi umeajili.
Mi mwenyewe dakatari hapa singida hospitali ya rufaa niliajiriwa kipindi Cha jk. Hapa Kuna uhaba mkubwa wa madaktari kama kumi hivi wanahitajika upande wa epidemiology nk. Sasa kama mjini Kuna uhaba he vijijini si ni kero na wakati huohuo mtaani wamejaa.

Ninachosema inapaswa uelewe wewe Bado mdogo sana. Enzi za jk hakuna dakatari hata mmoja aliyemaliza akakaa mtaani bila ajira ila jpm aliwarindika mtaani na tatizo likaanzia hapo. Unakuta dakatari amesota miaka mitano muhimbili halafu anauza mitumba kariakoo elimu ikaanza kushuka thamani kipindi chake.

We unafikiri kwa Nini wasomi au graduates wamefurahia sana uongozi wa mama
 
Kumbuka miaka mitano hakuweza kuajiri kabisa ndo chanzo Cha walimu, madaktari na manesi kujaa mtaani ambapo amempa shida sana mama kuwaabsorb wote Hawa. Kundi ni kubwa mno. Jk alikwenda vizuri sana ambapo alikuwa anaajiri sector hizi kwa maelefu labda ukatae mwenyewe kuajiriwa na serikali na ukumbuke enzi za jk private sector ilikuwa strong kiasi ambacho wengi hawakitaka kuajiriwa serikalini kabisa. Halafu ukumbuke miaka mitano yote hakuweza kuongeza kabisa mishahara ambapo jk alikuwa anaongeza kila mwaka na hii ikapelekea mzunguko wa pesa kuwa mkubwa. Hili neno vyuma vimekaza limeanza kuimbwa kipindi Cha jpm. Hii ni proof kwamba serikali ya jpm haikuwa na hela ila mabavu tu na ndo mana alitamani kuvifuta vyombo vyote vya habari ali asihojiwe kwa lolote na udictator umeanzia kwake.
Kupanga ni kuchagua!

Uajiri kidogo na miradi iende ama uajiri tuu ili pesa iende kulipa mishahara

Kupiga hatua ya maendeleo, kuna watu wengine waumie

Hata hivyo suala la ajira halitamalizwa na serikali yoyote
 
Kupanga ni kuchagua!

Uajiri kidogo na miradi iende ama uajiri tuu ili pesa iende kulipa mishahara

Kupiga hatua ya maendeleo, kuna watu wengine waumie

Hata hivyo suala la ajira halitamalizwa na serikali yoyote
Kumbuka maisha Huwa hayasimami kupisha miradi. Huwezi kusema ngoja watu wafe kwanza ili baadae wafafuke wakute miradi IPO. Huo ni ufinyu wa akili
 
Ajira ni chache ila kazi ni nyingi!

Mkuu utakufa masikini kuendelea kutegemea ajira!
Mi Nina ajira kubwa sana na niliajiriwa enzi za jk siyo lile li vampire ambalo linaaim kuua watu tu. Enzi zetu hata private sector ilikuwa inaajiri mpaka ikafikia hatua elimu ikawa na value lakini value ya elimu ikaanza kuzima kipindi Cha jpm.
 
Kumbuka maisha Huwa hayasimami kupisha miradi. Huwezi kusema ngoja watu wafe kwanza ili baadae wafafuke wakute miradi IPO. Huo ni ufinyu wa akili
Alomu yetu imetufanya tuwe tegemezi sana aisee!

Unanuna kwa sababu tu hakuna ajira serikalini?
 
Alomu yetu imetufanya tuwe tegemezi sana aisee!

Unanuna kwa sababu tu hakuna ajira serikalini?
First objective ya kusoma ni kupata ajira halafu upland mambo mengine baadae. Hata akina Elon must na billgate walianza na ajira za kuajiriwa kwanza wakapata mtaji
 
Mi Nina ajira kubwa sana na niliajiriwa enzi za jk siyo lile li vampire ambalo linaaim kuua watu tu. Enzi zetu hata private sector ilikuwa inaajiri mpaka ikafikia hatua elimu ikawa na value lakini value ya elimu ikaanza kuzima kipindi Cha

Basi kuwa mwaminifu ili nchi isonge" maana na nyie madakutari mmekuwa sehemu mnayorudisha nyuma sana nchi yetu kwa uwizi wa madawa na vifaa tiba,

Mnahamishia tu kwenye dispensary zenu na maduka ya madawa yenu

Pumbavu zenu
 
Basi kuwa mwaminifu ili nchi isonge" maana na nyie madakutari mmekuwa sehemu mnayorudisha nyuma sana nchi yetu kwa uwizi wa madawa na vifaa tiba,

Mnahamishia tu kwenye dispensary zenu na maduka ya madawa yenu

Pumbavu zenu
Tunawaonea huruma waliomaliza kipindi Cha jpm ambao walikutana na dhahama na mpaka Leo wanateseka na itamchukua mda mama kuabsorb kundi kubwa lile liliachwa kana kwamba siyo binadamu hawapaswi kuishi.
 
First objective ya kusoma ni kupata ajira halafu upland mambo mengine baadae. Hata akina Elon must na billgate walianza na ajira za kuajiriwa kwanza wakapata mtaji
Huu ndo ujinga sasa naousema!

mfumo wa elimu yetu utizamwe upya! Huu ni utumwa!

Mtu aliyesoma na akaamua anufaike na elimu yake! Hawi Mtumwa wa mwingine!
 
Huu ndo ujinga sasa naousema!

mfumo wa elimu yetu utizamwe upya! Huu ni utumwa!

Mtu aliyesoma na akaamua anufaike na elimu yake! Hawi Mtumwa wa mwingine!
Elewa nilichoandila. Fanya utafiti kwamba tajiri namba moja duniani Elon musk alianza kuajiriwa.
 
Tunawaonea huruma waliomaliza kipindi Cha jpm ambao walikutana na dhahama na mpaka Leo wanateseka na itamchukua mda mama kuabsorb kundi kubwa lile liliachwa kana kwamba siyo binadamu hawapaswi kuishi.
waambie wajiajiri, watakufa masikini
 
Back
Top Bottom