Hayakuhusu "Ni mambo ya Kifamilia"

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Mzungu alipita na nyani wake karibu na muuza ndizi, nyani akapora ndizi akaila,

Muuzaji aka-mind
mzungu akasema; una-mind nini wakati kala ndugu yako?
Mzungu akaondoka kidogo, aliporudi akakuta nyani wake kafa, akauliza kwanini umemuua nyani wangu?

Muuzaji akajibu "hayakuhusu ni mambo ya kifamilia!"
 
Mzungu alipita na nyani wake karibu na muuza ndizi, nyani akapora ndizi akaila,

Muuzaji aka-mind
mzungu akasema; una-mind nini wakati kala ndugu yako?
Mzungu akaondoka kidogo, aliporudi akakuta nyani wake kafa, akauliza kwanini umemuua nyani wangu?

Muuzaji akajibu "hayakuhusu ni mambo ya kifamilia!"

huo ukatili sasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom