tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Mzungu alipita na nyani wake karibu na muuza ndizi, nyani akapora ndizi akaila,
Muuzaji aka-mind
mzungu akasema; una-mind nini wakati kala ndugu yako?
Mzungu akaondoka kidogo, aliporudi akakuta nyani wake kafa, akauliza kwanini umemuua nyani wangu?
Muuzaji akajibu "hayakuhusu ni mambo ya kifamilia!"
Muuzaji aka-mind
mzungu akasema; una-mind nini wakati kala ndugu yako?
Mzungu akaondoka kidogo, aliporudi akakuta nyani wake kafa, akauliza kwanini umemuua nyani wangu?
Muuzaji akajibu "hayakuhusu ni mambo ya kifamilia!"