Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
nimeangalia kwenye taarifa ya habari ya tbc1 nimeona shule moja ya msingi ya mwaluko b mkoani shinyanga wanatumia darasa moja wanafunzi wa madarasa mawili mfano darasa la 6 na 7 wanachangia darasa moja kwa wakati mmoja yaani mwalimu wa darasa la 7 upande mmoja na mwalimu wa darasa la 6, huku wanafunzi wote wamekalia mawe na wakaonyesha choo inayotumiwa inasikitisha.. Kweli kikwete unaona tuendelee na mchakato wa kuwalipa dowans? Mbona huna huruma kwa wananchi wako, kweli mimi nayasubilia hayo maandamano ya tarehe 24 - 02 - 2011, cha kushangaza baada ya taarifa hiyo akaonyeshwa msekwa akijisifia eti mafanikio ya ccm.
Naomba tulijadili
Naomba tulijadili