Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Wahaya ni misifa tu inawasumbua kwani wana kutabia cha kutaka kuonekana kuwa wana akili Kumbe wanalazimisha tu.

These guys ni wasanii ... Opportunists and hypocrites!

Hebu tuwekee wahaya mabilionea kwani kuwa kwenye hizo taasisi kwa wingi ulioutaja ni ishara kwamba wana elimu kubwa ... Sawa wana elimu but ARE THEY ABLE TO PUT THE KNOWLEDGE INTO PRACTICE?

Ndugu competence inaundwa na vitu muhimu vitatu: KNOWLEDGE, SKILLS & ATTITUDE (ASK). Tofauti Kati ya knowledge na skills ni kwamba knowledge (Intelligence Quotient - IQ hufanya watu waelewe vitu kwa wepesi kuliko wengine) inapatikana kwa kuhudhuria lecture na kusoma makabrasha meeengi na makubwa makubwa (wahaya ni mahiri hapa nakubali); SKILLS ni uwezo wa kutumia knowledge kusolve problems (hapa wako zero kwani miPhD na Uprofesa haujawasaidia kuleta Ubunifu katika kazi ... Ndio maana maprof wengi ni maskini ... Ukijumlisha vipato vya maprof na MaDR wote bongo havifikii nusu ya utajiri wa mtu Kama Dewj au Mengi); Attitude inamfanya mtu awe na low/high Emotional Intelligence/quotient (EQ) ... Hapa wahaya wengi wana EQ ndogo kwani Sifa mingi na kujifanya wajuvi huwafanya wanajamii wawakimbie ukiongeza na utapeli ndio basi tena.

Kwa hiyo mleta mada kujipanga upya ... Nenda ukasome kuhusu intelligence vizuri ndio uje umwage PUMBA zako hapa!!!
Povu la nn !!! Soma uelewe, mleta mada kazungumzia maftokeo ya darasan na nyazifa walizowahi kupata wala sio mafanikio au tabia zao hata wewe unaweza kuleta uzi wako kuhusu tabia zao mbaya na mafanikio afifu walio nayo ambayo yapo na mengi tu. Au ulitaka wao darasan wakiwa wa kwanza basi watakutaja wewe.
 
Niombe radhi wabaki na unintelligible wao lakin mi siwez kujivunia kuwa muhaya
Hata diaspora unaona nao kwa sasa wanaangaika kuwa na uraia wa nchi 2 lakn hapo nyuma dah! Mtu alikuwa anajiona ka nn yaan. Sasa na wewe kujivunia kuwa kabila flan ni ushamba na ni akili za kitoto.
 
1.Kwa nn mkoa wa Kagera wamechelewa kuwa na UNIVERSITIES?
2.Kwa nn Bukoba hapajajengwa kufikia hadhi ya kuwa CITY?
3.Kwa nn wahaya ni waoga? hata kiutendaji!! na
4. Kwa nn mabinti wa kihaya wamekuwa makahaba wa kutolea mifano? ....................
Kwenye ukahaba bado hauko sahihi sana sema tu wenyewe ndo wamebeba bango toka zaman na kwao kitu umalaya haikuwa kitu cha aibu sana na kama sijakosea hata hao maprof.walisomeshwa na hao makahaba enzi hizo wakienda nairobi na ilikuwa sifa kweli mwana mama akirudi kijijin kwao.Gongo kusomesha watoto imekuja juzijuzi tu, lakini kwa sasa ingia kwenye mitandao uone kama sijakosea kaskazn inaongoza.
 
Kila kabila lina watu wenye IQ kubwa, Wahaya ni wengi kwa idadi, pia Wamishenari walipokuja waliwajengea shule hivyo wakapata fursa ya kusoma. Kuna makabila yamefanya vizuri sana kwenye elimu Mf. Wakerewe, Wanyakyusa, Wachaga, Wakurya, Waluo hata Wanyaturu na Wanyiramba wapo wenye IQ kubwa. Kwa Wahaya ni fursa waliwahi kupata pia ni watu wa matangazo sana.
Kitu kidogo wanakikuza utafikir ndo wa kwanza dunian,Mbwana Samatta angekuwa mhaya dah!!!
 
Kwenye ukahaba bado hauko sahihi sana sema tu wenyewe ndo wamebeba bango toka zaman na kwao kitu umalaya haikuwa kitu cha aibu sana na kama sijakosea hata hao maprof.walisomeshwa na hao makahaba enzi hizo wakienda nairobi na ilikuwa sifa kweli mwana mama akirudi kijijin kwao.Gongo kusomesha watoto imekuja juzijuzi tu, lakini kwa sasa ingia kwenye mitandao uone kama sijakosea kaskazn inaongoza.
Acha excuse za kijinga. Kama umeshindwa kujenga hoja. Kaa kimya kama sisi wengine.

Acha kutukana wa kaskazi..
Usiamishe topic isipohusika.

Mimi huko kagera nimekaa, na huko kaskazini nimekaa.
Wanawake wa kihaya nawajua fika na wanawake wa kaskaz nawajua fika. Sitaki kutolea ufafanuzi. Nitakua nje ya topic.
 
Ilo ni somo tosha kwamba kinature wako vizur maana wazaz wao walifanya ukaaba wakasomesha watoto,na hlo tunalishangaa sana hla kwa nchi za wenzetu ukahaba pia ni kaz km kaz nyingine maana wanalipa kod na kuingiza mapato serikarin,so tuwape hak yao pale wanapostail kiujumla wako vizur.
 
Hata Wagogo wamo
1.Best zabibu farmer 2003-Ndogwe Chigongwe
2.Best traditional music singer 1967-Madalabwete Msanjila
3.Best traditional actor 1995-Zebedayo Machimo
4.Mr Central Zone 1988-Matia Chibwaye.
Hehe
 
Subiriiiiii, !! mkinini,??... wakikuyu wanajua kuiba tu, okay mhaya.. senene ana miguu mingapi kwa haraka haraka maana umetukaba koo na wahaya au unataka tuhamie bukoba nn?
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Mpaka sasa sijaelewa motive ya mleta mada. Ila ningependa kumshauri tu ,Taznania yetu ilipotoka ni mbali na tulishavuka suala la ukabila kiasi kikubwa na imetusaidia sana kwa amani yetu na upendo baina yetu,

Kitendo cha mtu mmoja wa kabila fulani kuhisi kwamba kabila lake ni bora kuliko makabila yote Afrika sio sahihi na sidhani kama wanakabila wengine wote wanakubaliana nae .Pia napenda kumwambia mleta uzi huu usiwe mtu ambaye kutokana na maneno yako watu wanapata kugombanda ,

Kwa kuangalia tu comment zilizopita utaona ni jinsi gani watu hawakuridhishwa na kilichokuwa presented.Unaeza usione madhara ya unachokifanya saivi kutokana na kutofikiria unachokileta kwa kina na pia kina madhara gani mbeleni ila nataka nikuambie kwamba madhara ya mambo haya ni makubwa sana mbeleni.

Watanzania sisi ni wamoja na ningependa ibakie hivyo na ili iwe hivyo kabila moja lisijione bora kuliko kabila jingine "wanajamii forum wenzangu natoa rai kwamba watu wanaoleta habari hizi ni wa kukemea sana ili wajue wanakosea" .

"
Pia ningeomba moderator muwe mnatusaidia panapo mada kama hiz zenye kuleta mpasuko na zisizo na faida humu ndani zenye kuhimiza ukabila"
 
Kwenye ukahaba bado hauko sahihi sana sema tu wenyewe ndo wamebeba bango toka zaman na kwao kitu umalaya haikuwa kitu cha aibu sana na kama sijakosea hata hao maprof.walisomeshwa na hao makahaba enzi hizo wakienda nairobi na ilikuwa sifa kweli mwana mama akirudi kijijin kwao.Gongo kusomesha watoto imekuja juzijuzi tu, lakini kwa sasa ingia kwenye mitandao uone kama sijakosea kaskazn inaongoza.
Upo.sahihi..anaebisha my b ashindi.viwanja..mabint wa kichaga,na wale wasingida sijui wanyaturu plus wanyakyusa wanafunika kwa.umalaya ten kwa.kujiuza anaebisha aende kona.bat,ambiance au popote twn..chukua.malaya siku sab.mfululizo waweza kuta umegonga chaga nne,nyaki mbili na.nyatulu moja

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom