Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Lakini mbona Kagera ni mkoa maskini zaidi tanzania licha ya ardhi nzuri sana na wasomi wote hao?
 
Sio kwamba hawaendekezi ngono,ila n kaz kuwaoa coz hiyo kauli ya uchapakaz tamaaa hawaishiwi,.....Wanagongwa huku na.kule...kama wabisha jarbu fanya utafiti hata viwanja dar ..km kona bar,ambiance, sokotq nk..nenda mwanza vila park,njoo moro samaki samaki nenda iringa,mbeya carnival..kila wamejaa wao wanaongoza kujiuza...so nw wanatumia **** km fursa....wachaga,wahaya na wanyakyusa na.kabila.flan la singida ndio waongoza kujiuza hapa tz......

Km hiyo haitoshi,angalia masugar mamy weng n.kabila gan..wanaanza wangon.wanafwat wachaga.....dar hapo pamoja na waume zao wanapesa but.huchepuka kwa vjana...na.jamaa zangu wanajilia tuu

So.usiseme hawapend ngono, wanapenda coz fursa kwao..wezi ukizima jiandae kusulubika....na.bahat nao sana pale napo taka kisuzio
Hahahaa duh haya bana...
 
Majanga ya asili yakikupiga hata uwe na akili kiasi gani lazima utarudi nyuma tu kimaendeleo. Umesahau MV Bukoba...Mnyauko...kushuka bei zao la kahawa...tetemeko la ardhi...HIV AIDS from Uganda...vita ya Kagera n.k

Hapo Mkoa lazima urudi nyuma kiuchumi. Tuwaombee wahaya ili warudi ktk maisha yao ya kawaida tuendelee kunufaika kama taifa kupitia vichwa vyao...
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Nakubaliana na wewe 100% kuhusu weledi wa kabila la wahaya. Lakini umesahau moja kuwa kabila hili pia linatoa "The most professional sex workers" katika nchi hii na majirani. Hebu tuwekee na majina yao!
 
Lakini mbona Kagera ni mkoa maskini zaidi tanzania licha ya ardhi nzuri sana na wasomi wote hao?
Matajir.weng sio.wasomi..jarbu fanya.utafit.na.hilo pia


Wasomi wengi huwatumikia matajir,napo sema.wasomi.nazan.waelewa.
Bili get aliacha chuo
Steve job
Jamaa wa fb
Pdidy
Kanye west nk
But ili kuendeleza milad yao ktk ufanisi zaid huwa wana.ajir wasomi

So.usomi sio direct proportional na utajili

Wenzentu.hufanya.kitu kile rohoo inapenda, waweza kukuta mtt wa bilget badala ya.kurith mali za.baba awe tajir ila anasomea kumwagilia mchicha

Tatizo letu tunazan kuwa mtu alie soma lazima awe tajir

Nope

Na.ndio mana hapo kuna tofaut kubwa ya wachaga na wahaya

Huwa napenda kufananisha haya.makabila.coz kila.akisifiwa muhaya watu wanaongoza kuwapinga.n.watu.wa kaskazin maana.daima wao wanataka waonekane wapo juu kwa kila.kitu..

Ila.wakubali.wakatae jamaa wahaya.n watabe.class..ila.wachaga watafutaje aisee

Kuhusu wasomi wengi.nchini..hiyo inajulikana wahaya,wachaga na.wanyakyusa..ila wenye brain wahaya na wenye maendelea wachaga...hilo.halipingingi..nenda coet udsm.fanya sensa..jamaa hawa n.hatar


Anyway hata ss vikabila vyetu vidogo twaja kwa kasi....twapambana
 
Had this comment been from people like me the moderators would have hidden it like my comments regarding the substandard seats of the National stadium. It is likely all or one of them is a muhaya. These are known to be among the most tribalistic ethnic groups of tz.
The thread serves no purpose but to propagate sectarian chauvinism and purported superiority that never exists. It is total carelessness, utter stupidity in total disregard of tranquility that exists among Tanzanians.
 
Pia:
1. Wahaya, wanaume kwa wanawake ndio kabila malaya kuliko kabila lingine Tanzania nzima

2. Wahaya ndio walioingiza ukimwi hapa nchini 1981, mtu wa kwanza kuugua ukimwi alikuwa ni mhaya aliyejulikana kwa jina la Juliana, na ukimwi ulitambulika kwa jina hilo kwa miaka kadhaa iliyofuata hapa nchini.

3. Wahaya, sio kwamba wana akili, ila wameona umuhimu wa elimu kwa sababu ilifika huko mapema kwa njia ya ukoloni.

4. Wahaya hubebana na kupendeleana zaidi kuliko makabila mengine, wakifuatiwa na wachagga.

5. Wahaya hawana akili za asili ila hutumia nguvu nyingi sana kusoma, kama vile kukesha wakisoma and so on, ili mradi tu wavunje rekodi.

6. Wahaya ndio kabila linalopenda sifa zaidi kuliko kabila jingine lolote nchini.

7. Wahaya ndio kabila la kwanza kuuza na kunua ****

8. Wahaya walikufa sana kwa ukimwi kwa sababu ngono zao wanafanya hadi katika level ya familia, yaani kaka na dada, mama na mtoto, baba na mtoto. Kuna familia zilizoteketea mazima.

9. Wahaya pia ndio kabila linaloibukia kwa utapeli hivi sasa.
 
Its true hawa jamaa ni wazur sana class sema changamoto yao ndo hiyo wanapenda sana ukabila na kujisifia
 
Wahaya ni misifa tu inawasumbua kwani wana kutabia cha kutaka kuonekana kuwa wana akili Kumbe wanalazimisha tu.

These guys ni wasanii ... Opportunists and hypocrites!

Hebu tuwekee wahaya mabilionea kwani kuwa kwenye hizo taasisi kwa wingi ulioutaja ni ishara kwamba wana elimu kubwa ... Sawa wana elimu but ARE THEY ABLE TO PUT THE KNOWLEDGE INTO PRACTICE?

Ndugu competence inaundwa na vitu muhimu vitatu: KNOWLEDGE, SKILLS & ATTITUDE (ASK). Tofauti Kati ya knowledge na skills ni kwamba knowledge (Intelligence Quotient - IQ hufanya watu waelewe vitu kwa wepesi kuliko wengine) inapatikana kwa kuhudhuria lecture na kusoma makabrasha meeengi na makubwa makubwa (wahaya ni mahiri hapa nakubali); SKILLS ni uwezo wa kutumia knowledge kusolve problems (hapa wako zero kwani miPhD na Uprofesa haujawasaidia kuleta Ubunifu katika kazi ... Ndio maana maprof wengi ni maskini ... Ukijumlisha vipato vya maprof na MaDR wote bongo havifikii nusu ya utajiri wa mtu Kama Dewj au Mengi); Attitude inamfanya mtu awe na low/high Emotional Intelligence/quotient (EQ) ... Hapa wahaya wengi wana EQ ndogo kwani Sifa mingi na kujifanya wajuvi huwafanya wanajamii wawakimbie ukiongeza na utapeli ndio basi tena.

Kwa hiyo mleta mada kujipanga upya ... Nenda ukasome kuhusu intelligence vizuri ndio uje umwage PUMBA zako hapa!!!
Nakuunga mkono
 
Ameandika

9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir

1. George Kahama hajawahi kuwa knighted (kupewa u Sir) na malkia wa Uningereza. Alipewa U Sir wa vijiweni tu.
2. Kuna waafrika walipewa u sir wa kweli kina Sir Seretse Khama see Seretse Khama - Wikipedia
3. Kuna mtanzania amewahi kuwa knighted na malkia lakini hawezi kutumia designation ya Sir kutokana na mabadiliko katika titular nomenlature za British Kingdom. Ona Andy Chande - Wikipedia
He was made an Honorary Knight Commander of the Most Excellent Order of the British Empire on 29 August 2003, the first of its kind given to a Tanzanian citizen.



Wahaya acheni kupenda sifa.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Wahaya wako vizuri upstairs ni kweli lakini pili wao kupenda sana elimu na kuona daftari na ubao ndio kila kitu maishani ndiko kunafanya kuwe na wahaya doctors na professors wengi. Watu wa kabila nyingine wakishapata first degree au wakishapata mtaji wa kufanya shughuli fulani na knowledge akawa nayo basi huacha shule na kujishughulisha na hicho kitu.

Ila kitu pekee kinachonishangaza kwa wasomi hawa wa kihaya ni kule kwao kukusahau na kuwa kwenye rindi la umaskini.. Sasa sijui elimu yao huwa inawasaidia kwa kipi zaidi ya kelele wakati jamii yao inahangamia.. Wahaya lazima ifike mahali muone daftari na ubao si kila kitu maishani.. Pia mjifunze kuendeleza kwenu

3452997885_ce84b5f16e.jpg
27927227.jpg
IMG_5429.JPG
 
Back
Top Bottom