Haya ni mapenzi au huruma?

Sista ina maana hukuwa na mtu uliyemwacha huku bongo? Ama tamaa mbaya zimekushika? Kama unamtosa huyu jamaa ako wa home jua kwamba huyo anae wake huko cjui botswana ama lesotho. Atakutelekeza tu. Kweli mitoto ya kike hopeless.
 
Hodi humu ndani
mie sio mwenyeji sana, ni mgeni kiasi
Nimekuja na shida yangu tafadhali naomba msaada wenu
Mie ni dada wa makamo, niko nje ya nchi kwa masomo.Tangu nifike hapa nimekuwa mtu wa kujiepusha sana na mambo ya mapenzi na kujitahidi kujikita zaidi kwenye masomo nisije nikakosa degree yangu na kurudi bongo kwa aibu au nikaamua kubaki huku kwa kukwepa aibu ya kushindwa.Namshukuru Mungu nimeweza kuruka viunzi vingi vya mapenzi.Well, tatizo limekuja siku za karibuni kukutana na kaka mmoja anayetokea moja ya nchi zilizo kusini mwa Afrika.mwanzoni alipoanza kunifuatilia kimapenzi nilisikia kichekesho kwa sababu kaka huyu macho kumchuzi,(makengeza) kwa hiyo nilikuwa nasikia kucheka kila mara anaposisitizia azma yake ya kuwa na mie.Cha ajabu jinsi siku zinavyokwenda naanza kumwonea huruma(sina hakika kama ni huruma au ni mapenzi)natamani kumwona mara kwa mara. asiponitakia goodnite najisikia vibaya.Akikaa siku nzima bila kunipigia nasononeka. In short mie nisipoona yale macho basi hujisikia vibaya mwenzenu na kila nikimuona kamoyom kangu kananidunda lakini najipa moyo kwamba ninachojihisi ni huruma sio mapenzi.sasa wadau ninawezaje kujua hasa nini kilicho moyoni mwangu.Weekend hii kaniofa twende movie lakini nasita mana sina uhakika na feelings zangu mwenyewe.ushauri tafadhali kabla sijachemka dada yenu.
nionee huruma mm mtz mwenzako nami nipo nje wewe niambie tuu upo nchi gani kama ni bara la ulaya mm ntafunga safari
 
Weeeeeeeeeeeeee! Kuna mdada aliwahi kuniambia eti hao jamaa 'vichupa vyao vinajaa' kinoma, akikumwagia zitachuruzika kunao mbunye si chini ya siku tatu tangu zlipomwagiwa humo ndani. Itabidi utembee na pedi kukwepa aibu ya kulowa.

duh mkuu hii sikuwahi kuisikia
 
sasa wewe kama wewe umeshaona uzuri wa kengeza sasa hapo tutashauri nini ... ila kuwa makini jamaa mzuka ukipanda anaweza kuzungusha macho kama anakata roho ... usijekimbia wala kupiga makelele kuepuka hilo fumba macho muda wote hahahaha
 
kwanii makengezaa sio mtu!!aaaaghhhhhhh.we usha fall inlove .je unampendea mtu niniii weweee? kipato....mvuto...au moyo wake na care zake kwako?fataa moyo wako unavyo kutumaa
 
Fanya unachoona Moyo wako unakubali. Kwani huyo ni muoaji au kupitisha muda tu? MUNGU hapendi.
 
Fanya unachoona Moyo wako unakubali. Kwani huyo ni muoaji au kupitisha muda tu? MUNGU hapendi.
 
Sista ina maana hukuwa na mtu uliyemwacha huku bongo? Ama tamaa mbaya zimekushika? Kama unamtosa huyu jamaa ako wa home jua kwamba huyo anae wake huko cjui botswana ama lesotho. Atakutelekeza tu. Kweli mitoto ya kike hopeless.

Umemshauri vizuri sana ila sentensi yako ya mwisho imenikera.Why mitioto ya kike hopeless?
 
Hodi humu ndani
mie sio mwenyeji sana, ni mgeni kiasi
Nimekuja na shida yangu tafadhali naomba msaada wenu
Mie ni dada wa makamo, niko nje ya nchi kwa masomo.Tangu nifike hapa nimekuwa mtu wa kujiepusha sana na mambo ya mapenzi na kujitahidi kujikita zaidi kwenye masomo nisije nikakosa degree yangu na kurudi bongo kwa aibu au nikaamua kubaki huku kwa kukwepa aibu ya kushindwa.Namshukuru Mungu nimeweza kuruka viunzi vingi vya mapenzi.Well, tatizo limekuja siku za karibuni kukutana na kaka mmoja anayetokea moja ya nchi zilizo kusini mwa Afrika.mwanzoni alipoanza kunifuatilia kimapenzi nilisikia kichekesho kwa sababu kaka huyu macho kumchuzi,(makengeza) kwa hiyo nilikuwa nasikia kucheka kila mara anaposisitizia azma yake ya kuwa na mie.Cha ajabu jinsi siku zinavyokwenda naanza kumwonea huruma(sina hakika kama ni huruma au ni mapenzi)natamani kumwona mara kwa mara. asiponitakia goodnite najisikia vibaya.Akikaa siku nzima bila kunipigia nasononeka. In short mie nisipoona yale macho basi hujisikia vibaya mwenzenu na kila nikimuona kamoyom kangu kananidunda lakini najipa moyo kwamba ninachojihisi ni huruma sio mapenzi.sasa wadau ninawezaje kujua hasa nini kilicho moyoni mwangu.Weekend hii kaniofa twende movie lakini nasita mana sina uhakika na feelings zangu mwenyewe.ushauri tafadhali kabla sijachemka dada yenu.

Follow your heart! Mengine ni majaaliwa!
 
Usikubali kupoteza dhamira yako. Soma acha ujinga. Tatizo mitoto ya kike ndo maana walikuwa hawaisomeshi hapo awali. Mtoto kike chuoni anatakiwa aondoke na degree mbili; moja academic na mb.o.o

duh nadhani wenzetu wanaume hutoka na degree zaidi ya moja, academic, sex, cheating, artificial life style, .... just to mention a few.
 
Kwa mamlaka niliyojipa mweyewe I pronounce you mtu na mpenzi wake!..you may kiss!
 
Hodi humu ndani
mie sio mwenyeji sana, ni mgeni kiasi
Nimekuja na shida yangu tafadhali naomba msaada wenu
Mie ni dada wa makamo, niko nje ya nchi kwa masomo.Tangu nifike hapa nimekuwa mtu wa kujiepusha sana na mambo ya mapenzi na kujitahidi kujikita zaidi kwenye masomo nisije nikakosa degree yangu na kurudi bongo kwa aibu au nikaamua kubaki huku kwa kukwepa aibu ya kushindwa.Namshukuru Mungu nimeweza kuruka viunzi vingi vya mapenzi.Well, tatizo limekuja siku za karibuni kukutana na kaka mmoja anayetokea moja ya nchi zilizo kusini mwa Afrika.mwanzoni alipoanza kunifuatilia kimapenzi nilisikia kichekesho kwa sababu kaka huyu macho kumchuzi,(makengeza) kwa hiyo nilikuwa nasikia kucheka kila mara anaposisitizia azma yake ya kuwa na mie.Cha ajabu jinsi siku zinavyokwenda naanza kumwonea huruma(sina hakika kama ni huruma au ni mapenzi)natamani kumwona mara kwa mara. asiponitakia goodnite najisikia vibaya.Akikaa siku nzima bila kunipigia nasononeka. In short mie nisipoona yale macho basi hujisikia vibaya mwenzenu na kila nikimuona kamoyom kangu kananidunda lakini najipa moyo kwamba ninachojihisi ni huruma sio mapenzi.sasa wadau ninawezaje kujua hasa nini kilicho moyoni mwangu.Weekend hii kaniofa twende movie lakini nasita mana sina uhakika na feelings zangu mwenyewe.ushauri tafadhali kabla sijachemka dada yenu.

huyu keshapenda...reasons

1. Keshaaanza kuhisi kuwa msouth anamcare, na ndio maana kama hajayaona makengeza au hajampigia simu, basi akili yake haikai sawa
2.Mtu husononoka pale tu kinapotokea kitu ambacho ni kizuri kwake kinaenda ovyo, au kina matatizo

So....., nenda kajiburidishe na msouth, ili uondoe hizo hali mbili hapo juu, ingawa kuna zingine ziko moyoni na hujazitaja.

Nawakilisha
 
Back
Top Bottom