Straight corner
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 385
- 132
Wana JF nimejaribu Kufikiria ni maandamano ya aina gani yaliyowahi kupewa baraka na serikali yetu kwa miaka ya hivi karibuni nimekosa jibu, pengine tukumbushane tu!
Naona sasa maandamano yanayoruhusiwa na serikali ya Tz ni ya viongozi wakubwa tena wengine mafisadi wanapokuwa wanarejea vijijini kwao, wanapotua airport wakitokea nchi za nje kuuza ka-inchi ketu.
Jamani mbona hata Mchungaji mmoja waumini wake waliwahi kuandamana kumpokea kutokea airport hadi kanisani kwake bila shida wala sababu zozote za kiintelijenjia kujitokeza?
Nafikiri ile ibara inayoruhusu maandamano ya amani ifutwe kwa sababu imetawaliwa sana na habari za kiintelijensia hapa nchini.
Naona sasa maandamano yanayoruhusiwa na serikali ya Tz ni ya viongozi wakubwa tena wengine mafisadi wanapokuwa wanarejea vijijini kwao, wanapotua airport wakitokea nchi za nje kuuza ka-inchi ketu.
Jamani mbona hata Mchungaji mmoja waumini wake waliwahi kuandamana kumpokea kutokea airport hadi kanisani kwake bila shida wala sababu zozote za kiintelijenjia kujitokeza?
Nafikiri ile ibara inayoruhusu maandamano ya amani ifutwe kwa sababu imetawaliwa sana na habari za kiintelijensia hapa nchini.