Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,032
- 32,742
Mzee angalia nyuzi zako nyingi ni ukabila kwani unakusaidia nn wewe mchaga?Facts be facts brother, nimeweka demographics tu kulingana na uhalisia wa hali ilivyo.
Hauna kazi ya kufanya
Mzee angalia nyuzi zako nyingi ni ukabila kwani unakusaidia nn wewe mchaga?Facts be facts brother, nimeweka demographics tu kulingana na uhalisia wa hali ilivyo.
Mzee angalia nyuzi zako nyingi ni ukabila kwani unakusaidia nn wewe mchaga?
Hauna kazi ya kufanya
Bora nimo humo 🤣🤣MUHIMU: Tanzania bado ni nchi yenye wananchi wengi masikini, Hata katika makabila yaliyotajwa (yenye asili ya afrika), bado wenye maendeleo ni wachache, Orodha hii imejikita kwenye uwakilishi wa watanzania wachache wenye maendeleo na kisha kutazama uwakilishi kwa kigezo cha idadi na hatua za kimaendeleo.
Haimaanishi kwamba kila mtu wa kwenye kabila husika ana maendeleo, LA HASHA!! Wapo watu wa makabila yaliyotajwa wana ishi katika ufukara na pia wapo matajiri waliotokea makabila ya chini.
1. Raia wenye asili ya bara la asia - Wahindi, waarabu, wachina.
2. Wachaga
3. Wakinga
4. Wapemba
5. Wasukuma
6. Wahaya
7. Wanyakyusa
8. Wapare
9. Waha
10. Wakurya
View attachment 2549548
Ukabila wewe kila siku mara kabila fulani au tulete nyuzi zako hapo kila siku makabila hauna kazi ya kufanya?hapa nilichoweka ni statistics, ni kama vile orodha ya matajiri wengi wanatokea Marekani, wanakuja waingereza, waafatia wahindi, n.k...kosa lipo wapi hapo ??
Unajua maana ya ukabila ??
Mkuu labda una hasira tu kwamba kabila lako halipo na nimeshaweka wazi list hii haimaanishi kwamba kama kabila halipo basi ndio hakuna watu waliofanikiwa, LA HASHA!!Ukabila wewe kila siku mara kabila fulani au tulete nyuzi zako hapo kila siku makabila hauna kazi ya kufanya?
Mi sio mkabila hata salamu ya kikabila sijui na wala sijihusishi na hayo mambo hata jina la ukoo situmii ...Mkuu labda una hasira tu kwamba kabila lako halipo na nimeshaweka wazi list hii haimaanishi kwamba kama kabila halipo basi ndio hakuna watu waliofanikiwa, LA HASHA!!
Pia kitu cha kuzingatia ni kwamba hata katika makabila tajwa wenye maendeleo bado ni wachache
Jamaa Lina mada za kiboya Sana,Mi sio mkabila hata salamu ya kikabila sijui na wala sijihusishi na hayo mambo hata jina la ukoo situmii ...
Angalia nyuzi zako nyingi zimebase wapi? Punguza hayo mambo ni ushamba
Mshamba sana yaani yeye ukabila daily😂😂Jamaa Lina mada za kiboya Sana,
Watu wanawaza jinsi ya kuiondoa ccm na kuleta Katiba mpya yeye linaleta mada za kikabila.
Halafu unaweza kulikuta liko Lumumba linakula buku7 Kwa sikuMshamba sana yaani yeye ukabila daily😂😂
instanbul ukuje huku wamekuweka chini ya wachaga huyu mtu hana akili kabisaMUHIMU: Tanzania bado ni nchi yenye wananchi wengi masikini, Hata katika makabila yaliyotajwa (yenye asili ya afrika), bado wenye maendeleo ni wachache, Orodha hii imejikita kwenye uwakilishi wa watanzania wachache wenye maendeleo na kisha kutazama uwakilishi kwa kigezo cha idadi na hatua za kimaendeleo.
Haimaanishi kwamba kila mtu wa kwenye kabila husika ana maendeleo, LA HASHA!! Wapo watu wa makabila yaliyotajwa wana ishi katika ufukara na pia wapo matajiri waliotokea makabila ya chini.
1. Raia wenye asili ya bara la asia - Wahindi, waarabu, wachina.
2. Wachaga
3. Wakinga
4. Wapemba
5. Wasukuma
6. Wahaya
7. Wanyakyusa
8. Wapare
9. Waha
10. Wakurya
View attachment 2549641