Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 264
- 276
Habari.
Haya matuta kwenye barabara lengo lake nini? Magari yanapita kwa spidi kama kawaida, na mbaya zaidi Lori kubwa zikiwa na mzigo wa tani30+zinafukia tu hatari kwa waenda kwa miguu na nyumba za pembeni yani unaona hadi zinatikisika, lengo la kuweka matuta nini?
Haya matuta kwenye barabara lengo lake nini? Magari yanapita kwa spidi kama kawaida, na mbaya zaidi Lori kubwa zikiwa na mzigo wa tani30+zinafukia tu hatari kwa waenda kwa miguu na nyumba za pembeni yani unaona hadi zinatikisika, lengo la kuweka matuta nini?