Mbaya zaidi anaweka na lipicha lake kabisa
Nakumbuka mambo kama haya nilikuwa nayaandika zamani kipindi ndo facebook imechemka nikiwa na umri mdogo siku hz huwa nikitumiwa kama kumbukumbu huwa najishangaa tu kuwa niliwezaje kuandika hayo yote hvyo hadi nashangaa lakin mwenzang kaanza kuyaandika uzeeni
Matusi Yale, fasihi Ile,Sijaona tusi hapo
🤣🤣 wewe jomba umekuja kivingine kabisaSometimes i juat thinking myself is he has elders or his elders are in kaliua and they dont have smartphones..?
How madam pezdent🤣🤣 wewe jomba umekuja kivingine kabisa
Naweza kuamin ulivyosema zimetengenezwa na wengine,maana npo na acc yake lakin huwa naona zinazohusu mpira tuHizo meme,watu wanatengeneza,lazima wadhamini,wangekuwepo hapo.Halafu Oscar Oscar,siyo mzee.Nadhani hata 50 hajafika.
Ivi ana mke huyu mpuuzi?hata hao wanao lala naye wanamoyo ni Kama anawaongelea waoMwambieni jamaa yenu aache matusi ya rejareja tena ya kudhalilisha wanawake.View attachment 2732289View attachment 2732290View attachment 2732291View attachment 2732292View attachment 2732293View attachment 2732294
Ni yeye mwenyewe huandika hayo. Na kupost huko X (Twitter)Isije ikawa watu wanatumia tu memes zake kuandika yao. Kama vile wanavyotumiaga memes za Hayati Mugabe.
Nchi hii sahv wjng na wpmbv ndy maarufuNchi ikiwa na wapumbavu wengi,kila mtu anatafuta jinsi ya kutafuta umaarufu!!na huyu naye kupitia huo upuuzi eti naye ni maarufu,na ukiangalia kwenye comments huko watu wanamsifia!!!
Nchi hii sahv imejaa wapmb na sahv wameingia kila idara basi shida sana... hili ni takataka la wapi? Ndio ma-role models wa baadhi ya wapumbavu nchi hii. Kuna wajinga wanatamani kufikia "mafanikio" ya pumbavu kama hili!
kila mtu unahaki ya kutoa maoni na mawazo isipokuwa hajavunja sheria huyo jamaa anamashabiki wengi wanaopenda upumbav wake na kupitia mambo ya kipumbaf wajanja ndo wanapiga hela.mf mange kimambi ana piga 2b kupitia umbea, kama hupendi maswala ya osca osca mu unfollow tu mkuu
Aipate wapi? Kanjanja alipwe 6m?anakunja 6m/m wasafi media
Daaah 🤭🤭🤭anakunja 6m/m wasafi media
HahahahaNchi ikiwa na wapumbavu wengi,kila mtu anatafuta jinsi ya kutafuta umaarufu!!na huyu naye kupitia huo upuuzi eti naye ni maarufu,na ukiangalia kwenye comments huko watu wanamsifia!!