Haya matusi ya rejareja ya Oscar Oscar, mamlaka ziko kimya

Hizo meme,watu wanatengeneza,lazima wadhamini,wangekuwepo hapo.Halafu Oscar Oscar,siyo mzee.Nadhani hata 50 hajafika.
Mbaya zaidi anaweka na lipicha lake kabisa

Nakumbuka mambo kama haya nilikuwa nayaandika zamani kipindi ndo facebook imechemka nikiwa na umri mdogo siku hz huwa nikitumiwa kama kumbukumbu huwa najishangaa tu kuwa niliwezaje kuandika hayo yote hvyo hadi nashangaa lakin mwenzang kaanza kuyaandika uzeeni
 
huyu jesca jesca ni mbuzi kama mbuzi wengine
FB_IMG_16933075155828619.jpg
 
Hizo meme,watu wanatengeneza,lazima wadhamini,wangekuwepo hapo.Halafu Oscar Oscar,siyo mzee.Nadhani hata 50 hajafika.
Naweza kuamin ulivyosema zimetengenezwa na wengine,maana npo na acc yake lakin huwa naona zinazohusu mpira tu
 
... hili ni takataka la wapi? Ndio ma-role models wa baadhi ya wapumbavu nchi hii. Kuna wajinga wanatamani kufikia "mafanikio" ya pumbavu kama hili!
Nchi hii sahv imejaa wapmb na sahv wameingia kila idara basi shida sana

Ova
 
kila mtu unahaki ya kutoa maoni na mawazo isipokuwa hajavunja sheria huyo jamaa anamashabiki wengi wanaopenda upumbav wake na kupitia mambo ya kipumbaf wajanja ndo wanapiga hela.mf mange kimambi ana piga 2b kupitia umbea, kama hupendi maswala ya osca osca mu unfollow tu mkuu

2b kwa mwezi au?
 
Akina diamond na harmonize manyimbo yao yamejaa mitusi.
Lakini wao ndio wanapigiwa simu za surprise na rais wakiwa wanaperform.
Wengine wanasifiwa wana vifua vizuri..
Tone at the top sets a trend.
 
Zamani nilifikiri kuna mtu anaandika huo ujinga kisha anambambika jamaa ionekane ndiye kausema. Kama alivyokua anagewa Robert Mugabe, baadaye nikaja kuambiwa kumbe ni zake
 
Back
Top Bottom