BABA CATHE
Member
- Nov 12, 2013
- 56
- 14
Kuna binti mmoja nasoma naye chuo flani hapa tanzania, ni rafiki yangu wa kawaida toka muda mrefu ila hivi karibuni amenifungukia kwa kutaka kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mimi. Wana JF huyu binti na mimi ni vitu viwili tofauti kwani hayupo moyoni mwangu kabisa nifanyaje?? na hadi hivi sasa anamtuma rafiki yangu wa kiume anambie kuwa hawezi fanya chochote hadi atimize azma yake (kuwa na mim).