ile tuzo haitolewi kwa vigezo hewa! ndio maana mwaka jana haikutolewa kwani hakukua aliyefanya vizuri so ni bora wasitoe kuliko kumbandika mtu ilimradi so hatopewa kabisa!
Mungu mkubwa, Salim Ahmed Salim sasa ndiye Mwenyekiti wa hiyo NGO.....na hawezi msamehe JK kwa kampeni chafu alizozifanya 2005!
Malipo ni hapa hapa duniani....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.