Hawataki JK Apate Shahada ya MO IBRHIM?

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

Are you mad? Jk apewe tuzo ya mo-ibrahim! A nice dream bt not for jk may be dr slaa.
 
tutolee u.p.u.m.b.a.v.u, campaign zako zazina nafasi vichwani mwa great thinkers....kumbe ndomana siku izi kawa mpole eeeh...ndo mbinu mlizompa hizo?? utawala bora kwenye nini?? kuwalinda mafisadi, kuyafanya maisha ya watanzania kuwa magumu, kutowawajjibisha viongozi aliowateua chanzo kikiwa ni urafiki, kutojua sababu ya umasikini wa nchi anayoiongoza, au utawala gani uliobora mpaka ustahiki kupewa tuzo???
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.
Yaani Chadema waache kukazania mambo ya msingi ya upatikanaji wa umeme wenye uhakika waanze kufikiria MO ya Kikwete, nakusikitikia sana, nikisikia CDM wamefanya hivyo natangaza kukihama chama.
 
hopeless kabisa weweee, iyo tuzo ataipata kwani amefanya nini uyu mkwere,kuiba kura??? halafu iyo tuzo itatusaidia nini sisi watz wakati tumepigika kinoma???kumbuka jk alikuwa rais wa kwanza wa afrika kukutana na obama ilitusaidia nini sisi??? sifa za kijinga jinga, na wewe kwenu msata nini.....??
 
This is really a CRAP!!!!!

Kupungukiwa fikra tu, kwa taarifa yako MO IBRAHIM inaongozwa na Salim Ahmed Salim, na kwa aliyofanya jk kwa Salim kipindi kile cha uchaguzi kwa kumwekea propaganda za makusudi ili amchafue kinajulikana kuwa mtawala ambae hastahili tuzo ya aina yoyote ile, hilo salim analijua, na bahati nzuri si haya tu kwani salim anajua kila uozo unaofanywa na ccm na ndo maana ile zawadi hakuweza kuruhusu hata kidogo iende kwa mkapa achalia mbali mkapa alimpita jk mabli sana tu.

sasa ije leo MKWERE! KAMA UMETUMWA FORGET IT!
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.
kama haikufaa rangi itafaa chokaa.........nani ampe tuzo huyu?
 
This is really a CRAP!!!!!

Kupungukiwa fikra tu, kwa taarifa yako MO IBRAHIM inaongozwa na Salim Ahmed Salim, na kwa aliyofanya jk kwa Salim kipindi kile cha uchaguzi kwa kumwekea propaganda za makusudi ili amchafue kinajulikana kuwa mtawala ambae hastahili tuzo ya aina yoyote ile, hilo salim analijua, na bahati nzuri si haya tu kwani salim anajua kila uozo unaofanywa na ccm na ndo maana ile zawadi hakuweza kuruhusu hata kidogo iende kwa mkapa achalia mbali mkapa alimpita jk mabli sana tu.

sasa ije leo MKWERE! KAMA UMETUMWA FORGET IT!

Fikiria kwa mapana hata kama kichwa kimejaa matusi.

Salim hateui mtu peke yake. Kuna jopo ambalo haliyumbishwi na mawazo ya mtu mmoja ...akiwemo Mo anayedhamini hiyo tuzo.
 
Michango yako inaonesha hujui tuzo ya Mo Ibrahim ni kitu gani.

Hutahukumiwa kwa kukaa kimya... badala ya kujaza pumba kwenye jamvi.
Hata nikijua itanisaidia niniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?, wewe uliye karibu na hao mafisadi ndiye utafaidika, achana na mimi niko mwitongo huku napalilia maparachichi hiyo MO sijui MEE yako haitanisaidia kitu.
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

"Mtakatifu" mbona hajapewa hiyo?
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

ataendelezaje wakati hata kuanzisha hawezi?
 
Hata nikijua itanisaidia niniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?, wewe uliye karibu na hao mafisadi ndiye utafaidika, achana na mimi niko mwitongo huku napalilia maparachichi hiyo MO sijui MEE yako haitanisaidia kitu.

Usijali, endelea kupambana huko Mwitongo.

Kila la heri.

Mtaji wa Maskini ni nguvu zake mwenyewe!!
 
hahaaa hakuna siku nimecheka duniani kama leo..Yaaani JK apewe tuzo ya MO IBRAHIM???? yaani akipewa JK basi na mugabe atapewa kwa kweli....Huyu huyu JK nayemjua kweli apewe tuzo ??mhh inawezekana lakini
 
Back
Top Bottom