Bilionaire kekeman
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 142
- 824
- Thread starter
- #41
We ukisema ukweli unapata faida gani?Hivi ukisema uongo unapata faida gani humu
We ukisema ukweli unapata faida gani?Hivi ukisema uongo unapata faida gani humu
Na mi ngoja niisevu hii..
Wanapoteza bando tuHivi ukisema uongo unapata faida gani humu
Unatembeaje na large cash kirahis hivyo halafu unaacha kwenye gari? Man think about strategy zako again, uko so exposedAma kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa
Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.
Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo
😩😩😩😩😩😩
Hata mimi nimejiuliza hili swaliHii stori mbona kama niliwahi kuisoma humu zamani
Acha uibiwe unapenda sana sifa aisee. Nissan juke namba E aiseeeAma kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa
Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.
Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo
😩😩😩😩😩😩
Nahisi ni chai hii. Mbona Nissan Juke inatajwa sana? Halafu mimi hako kagari nakaonaga kama kamdoli fulani hivi kachurachura.Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa
Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.
Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo
😩😩😩😩😩😩
Umeonyesha huruma😳
aisee huyu mbona kama anatembelea nyota ya tajiri mkubwa kuliko wote jf aisee 😂😂 aiseePole aisee, maana kwenye ili bandiko lako kuna "aisee" kama zote aisee.
Kwahiyo umechukua hatua gani aisee?
Na bilionea haupo.... uzuri wamekuachia akili za kuandika JFAma kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa
Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.
Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo
😩😩😩😩😩😩