Hawa wanajeshi wa uokoaji walipe fidia kwa kuharibu hii hiace pale Katesh

Gari nzima kabisa hiyo, ilikuwa inafanya kazi kawaida na ilisogezwa na maji umbali wa mita 50 kutoka ilipokuwa ikaja kugota hapo.

Injini ikifanyiwa overhaul inapona.
Kama gari nzima unafanya overhaul ya nini? Gari limetengenezwa kuweza kupita kwenye maji na kuacha yatiririke na kukauka, siyo kukaa kwenye maji muda mrefu.
 
Gari ipo kwenye mtaro na hiyo sehemu imejaa tope. Mvua kubwa ikinyesha mafuriko rahisi sana kutokea, ni lazima gari itolewe kwanza ili watoe tope.

Halafu uwezi jua insurance cover ya mwenye gari anaweza kuwa na comprehensive na uharibifu zaidi ndio hela zaidi kwake.
 
Gari ipo kwenye mtaro na hiyo sehemu imejaa tope. Mvua kubwa ikinyesha mafuriko rahisi sana kutokea, ni lazima gari itolewe kwanza ili watoe tope.

Halafu uwezi jua insurance cover ya mwenye gari anaweza kuwa na comprehensive na uharibifu zaidi ndio hela zaidi kwake.
Swali rahisi ni kwamba, ingekuwa huyo mwanajeshi hiyo ni gari yake angeitoa kwa style hiyo?

Pale ilikuwa rahisi sana kutoa matope kidogo kwa mbele, kufunga kwenye chasis na kuivuta.
 
Ignore
Watu wenye negative mindset negative attitude km wewe kiazi nawagonga ignore tu mpaka mpate mimba na watoto mkawaache kwa Bibi zao kenge
Unathibitisha andiko la jamaa, wewe ni mpuuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom