El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 1,246
- 3,012
mafuriko yajayo tutalivuta..
Ukute mleta mada na wenzako mnaorushiana maneno wote hamjawahi miliki gari wala mfano wa gari ........
Kama gari nzima unafanya overhaul ya nini? Gari limetengenezwa kuweza kupita kwenye maji na kuacha yatiririke na kukauka, siyo kukaa kwenye maji muda mrefu.Gari nzima kabisa hiyo, ilikuwa inafanya kazi kawaida na ilisogezwa na maji umbali wa mita 50 kutoka ilipokuwa ikaja kugota hapo.
Injini ikifanyiwa overhaul inapona.
Ndio hujakosea maskini na magari wapi na wapiBila shaka wewe pia ni miongoni mwao hao wasiomiliki gari.
kwa hiyo mafuriko ni jambo la mzaha.Unaleta mzaha kwenye mambo serious
Km Baba yako, ukitaka fujo utapewa fujo
Swali rahisi ni kwamba, ingekuwa huyo mwanajeshi hiyo ni gari yake angeitoa kwa style hiyo?Gari ipo kwenye mtaro na hiyo sehemu imejaa tope. Mvua kubwa ikinyesha mafuriko rahisi sana kutokea, ni lazima gari itolewe kwanza ili watoe tope.
Halafu uwezi jua insurance cover ya mwenye gari anaweza kuwa na comprehensive na uharibifu zaidi ndio hela zaidi kwake.
akili gan tenaJaribu kutumia akili
IgnoreSijui ni kama Baba yangu au la ila wewe ni mpumbavu. Badilika