Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,509
- 17,382
Mbona kawaidaaaa sanaa sasa angefanyaje ? Akapambane nabodi...Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?