haya mavazi naona wanapendeze sio kufuata mambo ya kimagharibi
kwanza naamini wewe ni adui namba moja wa waislam baada ya lile taifa kubwa, mungu akulaani ufe na ukafiri wako. Dr Dau ana uhuru wa kuabudu na kufanya anacho amini kina kubalika kwa dini yake, jamii yake na serikali na si kuangalia matakwa yako. nilikua siamini kama tanzania ina watu wenye fikra kama zako za kikaburu na ukafiri ulitukuka. InshaAllah mwenyezimungu amlinde Dr. na maadui kama wewe!!!
hata kanzu si uafrika
Lowasa naona kashindwa kuelewa wenzie wanakunja vipi miguu. Wali haushuki akikaa hivyo.
Jamani mimi naomba kuuliza
Inakuwaje mtu mwenye cheo kama DG wa shirika kubwa kama NSSF anavaa hivi tena mbele ya board members...au mwenyekiti wa chama mbadala kuvaa hivi?
Kuhusu Freeman Naelewa alikuwa Bungeni sasa huyu Dau inamaana amewadharau hawa board members au uswahili umemkaa?
Hivi kuvaa nako kunahitaji mwongozo?
I'm utterly disappointed na haya mambo ya viongozi wetu kutaka yaingizwe kwenye katiba mpya? Kenya nako attorney General wao anavaa hereni kisioni
Hivi huyu Dau anataka awe taken serious CEO kweli? Huwezi kukuta akina Kitilya wa TRA au yule Kimei wa CRDB akionyesha daharau kwa board members kama huyu
Pichani: Dau akiwa na board Members wa NSSF 77
Rais mtarajiwa wa Tanzana (FREEMAN) ....naye kaingia kwenye huu mkumbo sasa sijajua hii ni influence ya Zitto au Freeman anajaribu kutuonyesha naye ni MAN OF THE PEOPLE?
Naomba mwongozi tafadhali
Lowasa naona kashindwa kuelewa wenzie wanakunja vipi miguu. Wali haushuki akikaa hivyo.
kiona una nuksi! kaoshweee, tena namafuta ya nazi! je? angekuwa pengo na wengine ungetoa iyo picture! mnafiki udini unakumalizia fikra zako kichwani