The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Q-Chief, TID wakamatana uchawi
Amani
Ishu nzima ilitokea hivi juzi kati jijini Dar es Salaam, baada ya Mtangazaji wa Kipindi cha Bongo Beats kinachovunja mawinguni kupitia Kituo cha Runinga cha Star TV, Sauda Mwilima kuomba kupiga stori na Q-Chief.
Wakiwa kwenye mahojiano ya laivu, Q-Chilah alisikika akisema kuwa tangu ameacha kufanya kazi na TID mambo yake yamekuwa hayaendi vizuri na kwamba tatizo hilo limekuwa ni la kudumu kwa upande wake.
Q-Chief aliendelea kusema siku moja akiwa katika mishemishe zake alikutana na mama mmoja (hakumtaja jina) aliyemwambia kuwa amelogwa na wasanii wenzake wawili akiwemo TID.
Akiongea na Amani kwa njia ya simu, Q-Chief aliendelea kupigia msumari kuwa, ni kweli amelogwa na wasanii hao na hakuna ubishi.
Kwa upande wa TID aliliambia Amani kuwa, kauli ya Chilah imemdhalilisha sana hivyo ameamua kwenda kuripoti polisi na kwamba atahakikisha anamshughulikia kadiri ya uwezo wake.
Amani
Wakiwa kwenye mahojiano ya laivu, Q-Chilah alisikika akisema kuwa tangu ameacha kufanya kazi na TID mambo yake yamekuwa hayaendi vizuri na kwamba tatizo hilo limekuwa ni la kudumu kwa upande wake.
Q-Chief aliendelea kusema siku moja akiwa katika mishemishe zake alikutana na mama mmoja (hakumtaja jina) aliyemwambia kuwa amelogwa na wasanii wenzake wawili akiwemo TID.
Akiongea na Amani kwa njia ya simu, Q-Chief aliendelea kupigia msumari kuwa, ni kweli amelogwa na wasanii hao na hakuna ubishi.
Kwa upande wa TID aliliambia Amani kuwa, kauli ya Chilah imemdhalilisha sana hivyo ameamua kwenda kuripoti polisi na kwamba atahakikisha anamshughulikia kadiri ya uwezo wake.