MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Hivi hawa jamaa ni kundi kubwa au?
@Excellent Maswali gani hayoo!!
@Tbag mi nataka kufaham uwingi wao
Hivi hawa jamaa ni kundi kubwa au?
Hivi hawa jamaa ni kundi kubwa au?
Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya
Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya
Ni kundi la wacha mungu walio vitani
Ni kundi la wacha mungu walio vitani
Kumbe jamaa alikuwa anawafagilia Shaabab?
Alikuwa anawaita "ndugu zetu"yule sheikh alikuwa hatari sana
Unajua ninashangaa sana na mitazamo yetu ilivyo. Yule shekhe kwani sio msomali?