hawa ndiyo Al shabab

MWANAWAVITTO

JF-Expert Member
Dec 2, 2011
258
220
Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya
 

Attachments

  • ALSHAABAB.jpg
    ALSHAABAB.jpg
    18.3 KB · Views: 358
Huwa nashindwa kuelewa pale ninapokuta mtanzania anawasapoti hawa jamaa tena yuko radhi hata kupigana na wengine mitaani kuwatetea hawa kelbu...
 
Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya

jamani twaona huu ndio unyama na wakati hao wako vitani, unyama ni ule tunaowafanyia ndugu zetu zeruzeru kule mwanza.
 
ni kundi dogo tu na ni wahuni hawa..na ni rahisi kuwaaangamiza kama unang'oa muhogo vile
 
ingekuwa ni rahisi wasingekuwepo,na kwa taarifa ni wabaya zaidi wakiwa mafichoni wakishambulia kwa kuvizia kuliko wakiwa kwenye vita ya ana kwa ana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom