Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

dah...
 

Attachments

  • Screenshot_20230921-140247.png
    Screenshot_20230921-140247.png
    12.7 KB · Views: 3
Kwani hii si hata mhe rais inaweza kuwa ametumiwa pia?maana si wanafowrd kwa namba zote tu......
Ngoja tuone
 
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,

Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.

Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani

View attachment 2756936
niliwatafuta voda, sitaki kutumiwa sms za GO bet, wamenitumia no zao niwapigie. Hii imekaaje kitaalam
 
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,

Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.

Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani

View attachment 2756936
Hawana akili wanafosi 🤣🤣😂😂😂😁😁
 
Wapumbavu wenyewe, Kwanza haya makampuni ya ubashiri wanatoa wapi namba zetu?? Na nani anatoa bila idhini yetu?

Hivi si walitunga sheria za taarifa za wateja. Mambo ya data security. Huu ni uhuni kutumia taarifa binafsi za watu.

Na ukute wengi waliopta kwa namna moja ama nyingine wanabet
 
Back
Top Bottom