City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,828
- 4,288
Kweli mkuu.Hat kam wanatak kufany promo si kwa njia za kishenzi kam hizi sasa
Kweli mkuu.Hat kam wanatak kufany promo si kwa njia za kishenzi kam hizi sasa
Haiendi nawatafuta kwa Email au namba zao mpk niwarudishieUnaweza reply hiyo sms yao. Kama wametumia namba inayo reply, wafungukie na wewe.
Mateja wa kamati mnajiuliza kabisa mnachukuliwaje?Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje
niliwatafuta voda, sitaki kutumiwa sms za GO bet, wamenitumia no zao niwapigie. Hii imekaaje kitaalamIvi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
View attachment 2756936
Hivi TCRA huwa hawawafuatilii huu uhuni!?
Nami nimepokea dakika kama ishirini zilizopita.
Hawana akili wanafosi 🤣🤣😂😂😂😁😁Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu kudharauliana kiasi hiki.
Natamani apatikane Wakili mjuzi wa Sheria hii kampuni ibananishwe Kizimbani
View attachment 2756936
Wapumbavu wenyewe, Kwanza haya makampuni ya ubashiri wanatoa wapi namba zetu?? Na nani anatoa bila idhini yetu?