Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Nilipata safari ya dharura nikiwa nimeacha nyama kwenye friji. Huku nyuma umeme ukaisha. Cha ajabu nimekuta nyama inatoa funza wakati friji ilikuwa imefungwa kabisa. Hawa wadudu wametokea wapi? Wamejiumba?