Hatutakubali!

Umoja sio hoja. Kama ishu ni umoja tulikosa nchi za kujiunga nazo? Kuna wazambia huku wamalawi mozambique etc huku mimi naona wako poa zaidi and we share a good history with them.


Kama ni suala la Umoja nadhani tungeimarisha SADC that EAC; Naunga mkono hoja hii kama ni ties; huku Kusini ndiko tuna asilimia kubwa ambapo hata damu yetu ilimwagwa kwa ajili yao!

Naomba kuuliza ; Baada ya EAC tunaendelea kuwa wadau kamili wa SADC?
 

Attachments

  • Annex on the Free Movement of Persons.11009.doc
    153.5 KB · Views: 106
  • Annex on the Right of Residence.11009.doc
    141 KB · Views: 104
  • Schedule on the Free Movement of Capital.11009.doc
    326.5 KB · Views: 96
  • EAC Common Market Protocol.doc
    338 KB · Views: 161
  • Communique-11th Ordinary Summit[1].pdf
    170.8 KB · Views: 118
  • Annex on the Right of Establishment.11009.doc
    156 KB · Views: 146
Kumbe siku zote tunapozungumzia mataifa mbali mbali ya ulaya ni kiini macho tu! Kumbe yote yalikufa nakupotea na sasa kuna nchi moja tu inayoitwa E.U!

Amandla........
 
ngoja nilikalie chini hili kwanza...jumuiya haina tatizo,shida ni wawakilishi/viongozi feki wasiohusisha watalaamu wa maswala ya uchumi,sheria,plannin nk
so sick with them
 
Agree with you mw kijiji

EAC is here to stay.katika ulimwengu wa leo umoja ndio jawabu.

Umoja wa namna hii ambao nchi inajiunga kwa hiari hauna shida, shida ni nchi moja kubwa kuikalia nyengine ndogo bila ya ridhaa ya watu wake.

If you can figure what i mean mdau.
 
5.- ......................!

Common Market haiwezi kufuta dola....? kinachoweza kufuta ni Political union ambayo hata European Union hawajafika huko. Jua kuna hatua katika regional integration yo yote:
1-common market
2-free trade area
3-economic union
4-political union or federation
 
Wandugu,

Leo (Juni 30 2010) ndio mwisho wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama tunavyoifahamu, kwani kuanzia kesho (Julai mosi 2010) Tanzania itakuwa chini ya "Soko la Pamoja" la EAC. EAC ndiyo itakayokuwa imeshika hatamu za uongozi kwa vile maamuzi yake yatakuwa ya mwisho. Kwa Kiswahili kingine, huo ndio mwisho wa kuwapo kwa Tanzania kama dola na jamhuri ya muungano.

Iwapo kufuta Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni jambo zuri au baya imefikia kuwa suala la mjadala, pengine watawala wetu waliofikia maamuzi haya wako sahihi, maana miaka ya zamani, na katika nchi nyingine, kufuta 'dola' ilikuwa ni suala wanaloliita 'uhaini', na dola zilizofutika yalikuwa ni matokeo ya kushindwa vita vya moto.

La kutia mashaka, ni pale ambapo hata watawala na 'wasomi' wetu hawaelekei kuelewa nini hasa maana ya EAC. Baadhi ya wachache wanapoeleweshwa maana halisi ya EAC huja juu kwa maneno "haiwezekani! hiyo itakuwa hatari! hatutakubali! maneno unayosema ni makali sana! watawala wetu hawawezi kusaini mikataba ya namna hiyo!" n.k. n. k. n.k.

Pasipotokea serikali ya Tanzania kuzinduka kungali na mapema na kujitoa EAC na soko lao la pamoja kabla ya Julai mosi (kesho), hatari yake si kidogo.

Mlenge


Mkuu Mlenge,

Umekuja na mada nzuri na naomba bila ya jazba wala kashfa nikafahamishwa, huko EAC, mambo ya Zanzibar yasio ya Muungano (JMT), yanasemewa na nani?

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom