Hatutaki Mbowe aachiwe huru, tunataka Serikali iliyomshitaki kwa ugaidi iithibitishie dunia ugaidi wake

Lini mlienda kumuona Mbowe gerezani? Na mmeishachanga kiasi gani cha pesa kuwapa mawakili wa kesi? Mmempeleka chochote kwa familia ya Mbowe? Au mnataka Mbowe akae jela mkusanye pesa za michango mgawane.

Familia ya Mbowe sio ya kimaskini hivyo ya kupelekwa kilo moja ya sukari na mche. Pesa zinachangwa kwa utaratibu, zitaliwaje? Huko CCM ndio kina wapigaji, hivyo mnadhani kila mahali ni wapigaji .
 
Mimi ni mmoja ta watu wanaomba kesi hii mama asiifute, lakini kwa saba u tofauti na hii. Ni kwamba ktk keai hii kuna watumiahi wa umma wamedharirishwa sana, wamwtykanwa na kufitinishwa kwa umma. Kuanzia majaji wote watatu, Mashahidi, Kingai, Mahita, Jumanne n.k. Fitina hizi zimeweka familia zao katika mazingira hatarishi sana. Kuifuta kwsi leo ni kufadhaisha watumishi hawa waliopotesa muda na heshima yao kwa kusimama mahakamani kipindi chote hiki. Tuache ukweli ujulikane kama walitudanganya au walikuwa wakweli wabebe mzigo ubaiwastahili.
Watu Wana hasira na Kingai na Mahita
 
Mandela tumlinganishe na Jiwe ili ufurahi ba

Burasa ni muhimu sana , tunaivimbia serikal na chakuifanya hatuna , Mbowe atafungwa maisha na chakufanya hatuna

Narudia tena, busara n Muhim mno mno mno mno
Kwani akifungwa wewe unaumia nini?? Kuna mengi ya kujifunza kuhusu kesi hii. Katiba mpya na tume huru ni lazima. Hata wakisema wanachama wote wa chadema ni magaidi bado tutaendelea kudai tu.
 
Lema na Mnyika wanasema waliwasiliana na Mangula tena kama chama sio mtu binafsi , wewe unakataa, uwe unasikiliza Space ya Maria Twitter , au Clubhouse , wapo huko kila siku wanasema ww unawabishia wakati n wao wenyewe wanasema

Na hawakuishia hapo kumwomba Mangula tu bali pia walimtuma Zitto kama mwenyekiti wa umoja wao wa vyama vya siasa kama sijakosea ,

Wakija huku nje wanavimba ila behind closed doors wanapiga magoti
Taga unaangaika Sana na Mbowe
 
Mkuu
Nimefuta Twitter , nimeapa kama nikihisi roho yangu ina kimuhe muhe cha siasa bora nikacheze na nguruwe zangu tu , Kwann nimeamua hivi

Mimi n muumin wa haki , lkn katika uumini wangu wa haki akili yangu sija itune kama robot kwamba haki itapatikana kwa njia ya sheria tu , haki anaweza patikana kwa majadiliano , maridhiano au njia nyingine yeyote tu ilimrad pande zote mbili ziyamalize

Swala la Mbowe na wale jamaa watatu limeniumiza sana wao kusingiziwa case ya ugaid, miez yoote nilikua najua watu tunapigana Mbowe aachiwe , mara fursa ikajitokeza , nilifurahi sana kwamba. Huenda Christmas Mbowe na wenzake watakua na familia zao

Heee mara naona twisted Tweet ya Lissu , mara lema mara nani mara hv , nilivunjika Moyo nikasema hata kama rais alikua na nia ya majadiliano kwa Tweet hz za viongozi wetu sidhan kama anaweza endelea nao

Viongozi wetu wamekua wabifsi walio pitiliza kwenye Hili, ukiangalia mwenendo wa case na rulling za Judge unajua kabisa watu wanaendesha case kutokana na maelekezo na atafungwa na chakufanya hatuna , njia ya mahakama tumesha feli, ilipaswa itumike njia mbadala , jela sio pazuri, tunavimba sababu tu tupo uraian, jela sio pazuri hata kidogo, familia nne ziko majonzin watu wao wako jela, huku nje viongozi ambao wako huru wanakula ugali na familia zao wanatia ngumu walip ndan kuachiwa, nilikasirika sana na nikajiapia hata hii case sifuatilii tena , hatuna mrengo mmoja na viongozi kwenye hili , wao wanatafuta political agenda kwenye maisha ya wwa
Una akili kama za Zitto. Hatupendi viongoz waoga waoga kama hao. Mbowe ni mfano wa kuigwa, kiongozi asiyeyumbishwa na anayesimama kwenye haki.
 
Mbowe hawezi kua Kama CUF 2000 iliyokubali uongo wa mkapwatipuka eti imepakia mashehena ya visu
 
Baba Nyerere
ongeza majela
wafungwe wapinga TANU!

Baba Nyerere

ongeza majela
wafungwe wapinga TANU!

Yiaa Yiaa Yiaa mselema
Yiaa Yiaa Yiaa mselema!
 
Kwani akifungwa wewe unaumia nini?? Kuna mengi ya kujifunza kuhusu kesi hii. Katiba mpya na tume huru ni lazima. Hata wakisema wanachama wote wa chadema ni magaidi bado tutaendelea kudai tu.
Huwez kupata katiba mpya wala tume kwa kutumia akili hiz za viongozi hawa , uko kwenye taifa ambalo linaendeshwa bila kufuata katiba wala sheria , lazima approach ibadilike
 
Taga unaangaika Sana na Mbowe
Mjifunze kupokea vitu vichungu kama mnavyopokea vinavyo wafurahisha , Kenyatta aliwahi mwambia Nyerere unaongoza maiti, na hata sasa hiyo kaul inaishi, nimekusogezea screenshot hapo
millardayo~p~CXiOG0JNu4A~1.jpg
millardayo~p~CXiRMGOtnrB~1.jpg
 
Una akili kama za Zitto. Hatupendi viongoz waoga waoga kama hao. Mbowe ni mfano wa kuigwa, kiongozi asiyeyumbishwa na anayesimama kwenye haki.
Ukitoka hapo unaenda kula zako ugali unalala kwa aman, kwann usiende kukaa nae jela??
 
Familia ya Mbowe sio ya kimaskini hivyo ya kupelekwa kilo moja ya sukari na mche. Pesa zinachangwa kwa utaratibu, zitaliwaje? Huko CCM ndio kina wapigaji, hivyo mnadhani kila mahali ni wapigaji .
Kama siyo ya kimasikini kwa nini mnapitisha bakuli la michango ya Mbowe?
 
Kama siyo ya kimasikini kwa nini mnapitisha bakuli la michango ya Mbowe?

Michango watu wanapitisha kwa hamasa za kupigania haki, na sio ili familia yake wapelekewe robo kilo ya nyama. Huko kwenye msosi alishavuka.
 
Kuna nyuzi nyingi mno humu hasa za mataga zikimshauri Rais Samia asimwachie huru Mbowe.

Kosa yote usikose akili, mataga hayajui kuwa Rais haruhusiwi kisheria kuingilia Mahakama, shauri la Mbowe lipo Mahakamani kwa hiyo Rais hahusiki.

Sisi wanachama wa Chadema hatutaki mwenyekiti wetu Mbowe aachiwe huru, tunataka Serikali iliyomshtaki kwa ugaidi iidhibitishie Dunia ugaidi wa Mbowe na siyo kumwachia huru.

Tunazo taarifa za kina na uhakika jinsi Serikali inavyowatuma wanafamilia ili wamsihi Mbowe akubali yaishe.

Kwa sababu kesi ipo Mahakamani siwezi kusema yote yanayoendelea.

Kifupi ni kwamba, Mbowe alijua kuwa atakamatwa,kwa hiyo hana cha kupoteza kabisa na yupo tayari hata kufa.

Wana CCM, mtake msitake, Mbowe ni Mandela wa Tanzania. Mkisikia hivyo it makes you go nuts, kesi mlianzisha wenyewe bila kutathimini madhara ya kutunga uongo, sasa hivi mnataka kuitema ndoana wakati imeshanasa uulimi

Pambaneni na hii kesi hadi mwisho, iweje mnataka suluhu na Gaidi?
Sasa mapingamizi yote hayo ya nini?, Maana hayo mapingamizi ya utetezi ndo yanafanya hii kesi kuu isianze kusikilizwa,,
Kama yuko clean waachane na mapingamizi,, yanamfanya mbowe azidi kuumwa na mbu gerezani
 
Nimekuja gundua siasa za Tanzania n ujinga na uchafu mtupu, wenye akili wanawaendesha wasio na akili , siku zote nilijua watu tunapambana Mbowe aachiwe kumbe i was wrong, completely wrong, viongozi wangu wao kwao politics milage, political agenda n bora zaid kuliko Mbowe kuachiwa

Mahakama haipo huru, Mbowe atafungwa na chakufanya hatuna, tunaongozwa na vipofu wasiojia kisoma alama za nyakati, kimsingi ilipopatikana nafasi ya Mbowe kuachiwa alafu viongozi waakaanza vimba nilijua ni kias gani tulivyo na watu selfish , wako tayari mtu aozee jela kwa sababu ya ego za kijinga , busara n Muhim, n Muhim sana kutumika , tofaut na hapo anafungwa maisha na chakufanya hakuna
Ni choko choko tu, hakuna la maana linaendelea,, wanasema mbowe kasingiziwa,, lakini wanaweka mapingamizi kibao ili kesi isisonge
 
Mandela hakuachiwa huru hivihivi. Sababu za yeye kuachiwa huru si kwa sababu alikua na msimamo sana hivyo Kaburu akaona amuachie, jibu ni hapana. Aliachiwa huru sababu watu waliokua nje yaani Wana ANC na mkewe Winnie walikua wanakiwasha sana mitaa haitamaniki wala kutawalikika na sababu ya pili ulimwengu ulikua ushabadilika kutoka old school colonialism to neo colonialism hivyo Makaburu wakakosa support ya mabeberu wengine.

Sasa CDM katika hivyo hapo hawana hata kimoja support ya Wananchi hawana na si kwa bahati mbaya Chama wamekifanya kama mali yao pekee, maoni yao ndio ya maana mwengine ukiongea unaonekana ni msaliti ama unatumika (kiufupi ukiwa na mawazo tofauti wewe ni CCM). Mikutano ya ndani hawafanyi kujenga spirit ya wanachama kuona umuhimu wa Uhuru wa M/Kiti wanashinda space kujadili yale yale.

Na jambo lengine ni Western Countries don't give a damn kuhusu demokrasia za nchi za Africa wanachojali ni maslahi yao tu. Usipogusa maslahi yao you're safe na sidhani kama Tanzania ishaanza chezea Sharubu za Mabeberu katika maslahi yao.

And last but not list kua ndani kwa M/Kiti ndio asylum tickets ya watu wengine zinakua extended katika nchi za watu. So it's better for some yeye kuendelea kuwepo ndani kuliko kurudi uraiani.​
Mandela hakuachiwa sababu eti kina winnie mandela walikiwasha sana,, kiufupi ANC walishatepeta,,, unaifahamu BOSS?
Ili mandela kuachiwa watu wenye influence duniani walifanya Lobbying kali sana,,
Kina Olf palmer, vuongozi wakubwa duniani walifanya shuntting sana kwenda south africa kyongea na kina botha, de clerk etc,
Kipindi mandela anaachiwa, ANC walishatepeta long time, na walishakituliza
 
Back
Top Bottom