Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,393
- 31,259
😂😂😂😂Hakuna rafiki aisee jana tu hapo mshikaji nilieamini ni rafiki yangu kaniibia buku nne
Itokee bahati mbaya ukapata kifungo cha miaka 20 jela, ni nani ataenda kukuwekea dhamana?
Kipimo chako cha urafiki ni nini?Kuwekewa dhamana Si kipimo cha urafiki,,,kwani jela NI Kwa ajili ya nani au ndio kipimo cha urafiki??unawezafungwa ukaenda mpata rafiki wa kweli huko huko jela,,Maisha yana misingi yake kaka
Na huu ndio ukweliWatu wengi hatuna marafiki ila tuna watu tunaofahamiana tu.
Uko sahihi
Kwa nini?Hatuwataki marafiki
Swadaktaaaaa!!! Uko km mie.Nilipo jifunza kutofautisha kati ya rafiki na mtu wa karibu..... kuanzia pale mwanadam hajawahi kunisumbua.
Kazi tena sio ndogoo!