Dornatero
Member
- Feb 26, 2012
- 15
- 8
akwenda kinyume na mitazamo hasi ya wavivu wengi nchini wasemao ati watanzania tu wavivu. Nadhani udahili wa ajira ndio wa kivivu kwa vile hawataznini unacho kichwani bali nani unamfahamu humo ndani. Tukipewa natasi tunaweza sie ndio asili ya busara za kiafrika na hekma ya kuzaliwa.
Narudia tena sie si wavivu, tupeni nafasi.
Narudia tena sie si wavivu, tupeni nafasi.